Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
unakumbuka zamani kipindi cha nepi mtoto akikojoa inaanikwa tu haipigwi maji wala nini nadhani wengi humu walikuzwa hivoIla kwa joto la Dar na kunginepo, kuoga humsaidia mtoto kulala vizuri.
[emoji23] [emoji23] Af weewe[emoji115]tumia maji na mkono au mkeo kabandika kucha?
..tunaenda na teknolojia sisi,hatutaki ujingatumezidi kuiga
hivi vitu vya viwanda vya wachina mkuu naviogopa sana.viwanda vipo mafichoni huko kiwalani sijui temeke vinazalisha toilet papers ,wipes ,pedi n.k sio kabisa .havina ubora bora uache tu.kama huwezi nunua vitu original bora urudie asiili ndo maana magonjwa mengi siku hizi? mbona zamani kulikuwa kauna UTI unadhani ni kwanini?[emoji23] [emoji23] Af weewe[emoji115]
Mkuu kuna madhara yoyote kumuogesha mtoto mchanga mara kwa mara?sema mtoto mchanga haogeshwi ovyoovyo ili akue ila wabongo kila saa ni kumpiga maji
Shukrani kwa kutujuza tusiokua na elimu hiihahaha, sio kukua ila ni kwa ajili ya kuilinda ngozi ya mtoto. Inashauriwa mtoto mchanga kabla ya kitovu kutoka asiogeshwe. Mwenzi mmoja hadi 3 basi mara 1 au 2 kwa week. Na pia kwa mwezi wa kwanza asiogeshwe na sabuni yoyote maana si rahisi kupata sabuni isiyo na madhara. Kutoogeshwa haina maana hasafishwi. Waweza msafisha hata mara 10 kwa siku kwa kutumia, maji ya vugu vugu, pamba na kitauolo laini.
hatakuwa vizuri mtoto mchanga unamuogesha mara mbili tu kwa week unamfuta futa tu fanya hivo uone atakavokuwa fastaMkuu kuna madhara yoyote kumuogesha mtoto mchanga mara kwa mara?
Miss hustle katika ubora wake [emoji4]hatakuwa vizuri mtoto mchanga unamuogesha mara mbili tu kwa week unamfuta futa tu fanya hivo uone atakavokuwa fasta
wenzetu wazungu hawaogeshi watoto ovyo ovyo .sisi mtoto utadhani samaki kila saa kwenye maji jamani
ahahaa mtoto anaamka asubuhi anapigwa maji,mchana anapigwa maji,akipupu anapigwa maji,jioni anapigwa maji hawajui hilo joto la mwili ndo linamfanya mtoto akue? sasa kila saa likitolewa atakuaje?Miss hustle katika ubora wake [emoji4]
halafu ujue sina mtoto jamani life is nota fair meenMiss hustle katika ubora wake [emoji4]
Nna hela twende nikakunulie tukanunue wetu hospitali!!halafu ujue sina mtoto jamani life is nota fair meen
ahahaa umenikumbusha zamani mama akija na kababy home anasema kamnunua etiNna hela twende nikakunulie tukanunue wetu hospitali!!
mkuu umeua hapo hahahaaaaaaaatavaa uchi
Teh eti kama samakihatakuwa vizuri mtoto mchanga unamuogesha mara mbili tu kwa week unamfuta futa tu fanya hivo uone atakavokuwa fasta
wenzetu wazungu hawaogeshi watoto ovyo ovyo .sisi mtoto utadhani samaki kila saa kwenye maji jamani
ahahaa kama churaTeh eti kama samaki
unakuta mktoto yupo arusha au mbeya hivi saa kumi na mbili au saa moja asubuhi keshalowekwa kwenye besenikumwogesha mtoto mdogo mara kwa mara ni kumfanya awe mtepetevu ndo mana lumonia na kukohoa plus mafua yanaua sana watoto wa mjini