Hela yeyote unatoa au unataka tight bass kwa buku 20?Jf tech huwa napata suluhisho. Watu wanajua.
Kwa dar naomba kujua napata wap wireless earphones zenye bass na mchujo mzuri kama au zaidi ya wired earphones.
Najua maduka yamejaa hizo lakin tatizo ni bass kuipata vyema.
pia napenda brands kubwa kama sony, bose, beats etc.
Muundo huo
Mpe option mzee, kuna kitu nimejifunza toka kwako kwenye hizi mambo kwamba kuna brand zipo overpriced tu ila hakuna maajabu.Hela yeyote unatoa au unataka tight bass kwa buku 20?
Mkuu Extro..kuna zangu za 100k sijui nilipigwa ni mpaka ushikilie sikio usikie dundo..aiseee..maoni hapo tafadhali.Hela yeyote unatoa au unataka tight bass kwa buku 20?
TZ ni kama anayetuletea bidhaa ni mmoja toka nje. Mana unakuta kariakoo bidhaa nyingi, majina mengi lakin ubora hasi ule ule!Mkuu Extro..kuna zangu za 100k sijui nilipigwa ni mpaka ushikilie sikio usikie dundo..aiseee..maoni hapo tafadhali.
Ngoja nimcheki mwarabu kama kashaleta mali safi.Ukitaka kizuri sharti ugharamie.
Though reasonably!
Tuanze na bidhaa kuitambua au tuanze na kuonyesha hela?
Hapo hamna namna umepigwa kama ngoma mzee. Earpods za laki halafu kupata bass hadi upige jeki πππMkuu Extro..kuna zangu za 100k sijui nilipigwa ni mpaka ushikilie sikio usikie dundo..aiseee..maoni hapo tafadhali.
Oraimo na Airpods copy same quality sound with a difference of 60K in priceOraimo
Bei 80k
The problem is durability mkuuOraimo na Airpods copy same quality sound with a difference of 60K in price
Tena si kidogo ....so unashauri Oraimo Mkuu?Hapo hamna namna umepigwa kama ngoma mzee. Earpods za laki halafu kupata bass hadi upige jeki πππ
Yeah mkuu,mjini akili tuMpe option mzee, kuna kitu nimejifunza toka kwako kwenye hizi mambo kwamba kuna brand zipo overpriced tu ila hakuna maajabu
Mkuu nami nasubiri mwongozo wakoNgoja nimcheki mwarabu kama kashaleta mali safi.
The bestOraimo
Bei 80k
[emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu Extro..kuna zangu za 100k sijui nilipigwa ni mpaka ushikilie sikio usikie dundo..aiseee..maoni hapo tafadhali.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hapo hamna namna umepigwa kama ngoma mzee. Earpods za laki halafu kupata bass hadi upige jeki [emoji23][emoji23][emoji23]