Wireless earphones zenye bass: anayejua zilipo dar.

Wireless earphones zenye bass: anayejua zilipo dar.

Pata hizi.
20231103_130012.jpg
20231103_130008.jpg


Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • 20231103_130012.jpg
    20231103_130012.jpg
    102.1 KB · Views: 12
Mimi natumia hyo itafute utakuja nishukuru na ni water proof price 70k mpka 100k
 

Attachments

  • images (25).jpeg
    images (25).jpeg
    15 KB · Views: 16
TZ ni kama anayetuletea bidhaa ni mmoja toka nje. Mana unakuta kariakoo bidhaa nyingi, majina mengi lakin ubora hasi ule ule!
Ndo tunarudi humu kuulizana wapi store ya mleta ubora tarajiwa.
Mara nyingi nachukua bidhaa eBay or Amazon natulia natumia virtual cards za mobile provider naweka mzigo wangu nasubiria products hasa hizi za matumizi binafsi kwakua kkoo wengi wanatoa china/dubai na ni feki most of the time
 
Mara nyingi nachukua bidhaa eBay or Amazon natulia natumia virtual cards za mobile provider naweka mzigo wangu nasubiria products hasa hizi za matumizi binafsi kwakua kkoo wengi wanatoa china/dubai na ni feki most of the time
Unazo za bass nzuri toka brand zinazokubalika uniuzie?
Ziwe in_earphones
 
Kama unataka za kipato cha kati nunua Oraimo, hutojutia kamwe...ni Ngumu Mno na zinakaa na chaji zaidi ya masaa 35+ na hata ukipigiwa simu mic yake ni HD call.
Ni water Proof, na Bass yake ni nzito sana wana App yao play store ambayo ukitaka unaweza kuitumia kwa ajili ya ku Equalise sauti vile unavyotaka...
Bei ya chini kabisa ni 35k na bei ya juu kabisa inafika 165k
Kwa ubora nazipa nyota nne★★★★

Kama una kipato kizuri nunua JBL Og ya Bei ya chini kabisa inaanzia 200k na ya bei ya juu kabisa inafika mpaka 750k kwa JBL wala hamna haja ya kuielezea sana ila kwa wale wanaojua JBL wakoje linapokuja suala la Sound, Durability, na Quality siyo mchezo JBL ni next level....
JBL ni nyota ★★★★★
 
Kama unataka za kipato cha kati nunua Oraimo, hutojutia kamwe...ni Ngumu Mno na zinakaa na chaji zaidi ya masaa 35+ na hata ukipigiwa simu mic yake ni HD call.
Ni water Proof, na Bass yake ni nzito sana wana App yao play store ambayo ukitaka unaweza kuitumia kwa ajili ya ku Equalise sauti vile unavyotaka...
Bei ya chini kabisa ni 35k na bei ya juu kabisa inafika 165k
Kwa ubora nazipa nyota nne★★★★

Kama una kipato kizuri nunua JBL Og ya Bei ya chini kabisa inaanzia 200k na ya bei ya juu kabisa inafika mpaka 750k kwa JBL wala hamna haja ya kuielezea sana ila kwa wale wanaojua JBL wakoje linapokuja suala la Sound, Durability, na Quality siyo mchezo JBL ni next level....
JBL ni nyota ★★★★★
Hata apple AirPods zao ni nzuri sn bei zipo Sawa almost na JBL
 
Mara nyingi nachukua bidhaa eBay or Amazon natulia natumia virtual cards za mobile provider naweka mzigo wangu nasubiria products hasa hizi za matumizi binafsi kwakua kkoo wengi wanatoa china/dubai na ni feki most of the time
Naunga mkono hoja mkuu,bora kuagiza tu. Kuna baadhi ya Brand kw hapa Bongo kupata OG ni mtihani sanaa.
 
Naunga mkono hoja mkuu,bora kuagiza tu. Kuna baadhi ya Brand kw hapa Bongo kupata OG ni mtihani sanaa.
Hapo kwenye kujua og. Hv hizi bidhaa hazina mfumo wa kusoma barcode kujua og?
 
Hapo kwenye kujua og. Hv hizi bidhaa hazina mfumo wa kusoma barcode kujua og?
Baadhi zinakuwa nao kwenye mabox yake na nyingine ndio hivyo tena mwendo wa kubahatisha. Ila njia nyingine ya kuepuka bidhaa fake ni kutokimbilia sana majina makubwa. Mfano wireless phones za Apple, JBL, Boose nyingi utazijua tu upande wa bei, sababu OG zinakuwa na bei kali sanaa, sasa ukiona inauzwa bei ya kutupa halafu ni mpya full boxed lazima ujiulize mara mbili mbili🤣
 
Kama unataka za kipato cha kati nunua Oraimo, hutojutia kamwe...ni Ngumu Mno na zinakaa na chaji zaidi ya masaa 35+ na hata ukipigiwa simu mic yake ni HD call.
Ni water Proof, na Bass yake ni nzito sana wana App yao play store ambayo ukitaka unaweza kuitumia kwa ajili ya ku Equalise sauti vile unavyotaka...
Bei ya chini kabisa ni 35k na bei ya juu kabisa inafika 165k
Kwa ubora nazipa nyota nne★★★★

Kama una kipato kizuri nunua JBL Og ya Bei ya chini kabisa inaanzia 200k na ya bei ya juu kabisa inafika mpaka 750k kwa JBL wala hamna haja ya kuielezea sana ila kwa wale wanaojua JBL wakoje linapokuja suala la Sound, Durability, na Quality siyo mchezo JBL ni next level....
JBL ni nyota ★★★★★
JBL ni habari nyingine
 
Back
Top Bottom