Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Nyerere utamchukia machoni (kwa wale wanaoigiza kumchukia) ila moyoni utampenda
ukweli usiopingika nao wanamchukiao ni kwa sababu hata wao wamejichukia pia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere utamchukia machoni (kwa wale wanaoigiza kumchukia) ila moyoni utampenda
Tutampendea nini? Kutuulia EAMWA na kutuanzishia BAKWATA,kuwaua wanaharakati wa uhuru wa nchi hii, katika moja ya maelezo yake amewahi kusema wakati wa harakati za uhuru aliwahi kusema kuwa Alifunga na WAISLAMU pamoja siku 3 vile vile wanaharakati wa uhuru waliokua wakimzunguka wote walikua waislmu hivyo hakua na budi kufuata taratibu za uislamu wakati huo mbona HAMYAZUNGUMZII HAYA?
Hivi hizo hapo juu kuhusu wanawake na maziwa na kuzaa watoto wazuri ni kweli alisema au amesingiziwa...? alafu ile nyingine ya kwamba angekuwa na uwezo angeleta wingu na kunyesha Mtera...? duh kaazi kweli kweli nadhani sometimes ni bora kukaa kimya kuliko kuongea
Tutampendea nini? Kutuulia EAMWA na kutuanzishia BAKWATA,kuwaua wanaharakati wa uhuru wa nchi hii, katika moja ya maelezo yake amewahi kusema wakati wa harakati za uhuru aliwahi kusema kuwa Alifunga na WAISLAMU pamoja siku 3 vile vile wanaharakati wa uhuru waliokua wakimzunguka wote walikua waislmu hivyo hakua na budi kufuata taratibu za uislamu wakati huo mbona HAMYAZUNGUMZII HAYA?
nyerere alisema,
" upumbavu ni kama kipaji.....watu
wanakuwa na vipaji vikubwa hivi".....
Tutampendea nini? Kutuulia EAMWA na kutuanzishia BAKWATA,kuwaua wanaharakati wa uhuru wa nchi hii, katika moja ya maelezo yake amewahi kusema wakati wa harakati za uhuru aliwahi kusema kuwa Alifunga na WAISLAMU pamoja siku 3 vile vile wanaharakati wa uhuru waliokua wakimzunguka wote walikua waislmu hivyo hakua na budi kufuata taratibu za uislamu wakati huo mbona HAMYAZUNGUMZII HAYA?
Haya maneno yote angeyapta na kuyasoma kwa makini JK ingependeza zaidi na nchi ingestawi!