Ni vigumu wito wa kiongozi wa chama kutenganishwa na chama:
Ingekuwa vyema tukapeana uthibitisho ili japo kujua tunaposimama.
"Ikumbukwe kodi za kufikia nusu ya kwanza ya mwaka huu zilikwisha lipwa kufikia 31/3/2023."
Hivyo:
1. Wito huu unategemewa kutekelezwa vipi?
2. Kwanini vyama hivi haviko tayari kuwapo bega kwa bega kwenye mapambano yenye tija?
3. Hivi ndivyo Raila au walivyokuwa wakifanya kina Slaa au Maalimu Seif?
4. Tumepotea maboya kiasi hiki?
Niwaombe viongozi wetu kujitafajari. Kama vipi tuwe na viongozi walio tayari kwa mapambano kweli kweli.
"Watu hao mbona wapo wengi tu?"
Bila hivyo na kwa mwendo huu hakuna mtu kwenye ripoti ya CAG ataachia ngazi wala nini.
Labda kama tumeanua kuwa wasanii kama shishi tu.
Ingekuwa vyema tukapeana uthibitisho ili japo kujua tunaposimama.
"Ikumbukwe kodi za kufikia nusu ya kwanza ya mwaka huu zilikwisha lipwa kufikia 31/3/2023."
Hivyo:
1. Wito huu unategemewa kutekelezwa vipi?
2. Kwanini vyama hivi haviko tayari kuwapo bega kwa bega kwenye mapambano yenye tija?
3. Hivi ndivyo Raila au walivyokuwa wakifanya kina Slaa au Maalimu Seif?
4. Tumepotea maboya kiasi hiki?
Niwaombe viongozi wetu kujitafajari. Kama vipi tuwe na viongozi walio tayari kwa mapambano kweli kweli.
"Watu hao mbona wapo wengi tu?"
Bila hivyo na kwa mwendo huu hakuna mtu kwenye ripoti ya CAG ataachia ngazi wala nini.
Labda kama tumeanua kuwa wasanii kama shishi tu.