Wito butu wa mgomo kufuatia ripoti ya CAG

Wito butu wa mgomo kufuatia ripoti ya CAG

Mkuu labda iwe kujitia hamnazo tu. Yaani kujaribu kuukimbia ukweli. Kwa maneno mengine kuamua kujidanganya wenyewe.

Matatizo yetu na wakenya ni yale yale kwa nini hatuandamani ... ?

Jibu ni rahisi na ninaamini hata mama Samia, mambuzi wote, mimi, wewe na yule wanalijua vizuri sana:

View attachment 2585358

"Raila Odinga (Baba) Kamanda wa vita yuko wapi?"

Nimekupa mifano kadhaa kuwa maandamano yenye hamasa ya kutosha ambayo yamewahi kuwepo hapa nchini. Kinondoni kwenye kadhia ya Aquiline, alipokuwapo Slaa, alipokuwapo Maalim Seif, nk. Maandamano kama hayo hayakuwa ya kitoto.

"Kwani maandamano ya Raila yanayoitikisa Kenya yana watu hata 2,000? Siyo Kenya yote inayo andamana."

Kutotambua harakati kama hizi,

View attachment 2585372

hakuwezi kupewa jina jingine zaidi ya kuwa ni kutaka kutojitendea haki wenyewe kwa kiwango cha juu tena kilichopitiliza.

Tambua bila Raila, Kenya hakuna maandamano.

Kwamba hatukutokea kwenye shughuli za Lissu? Lissu huyu?

View attachment 2585345

Wapi hatukutokeai? JKNIA #1 au Kiluvya na askofu Mwamakula?

Kama huko tulitokea unalenga kuonyesha wapi watu hatukutokea? Kama unadhani hatukutokea umejiridhisha na sababu zakutokutokea, zikiwamo kutokuwapo kwa malengo stahiki kama yalivyo kwenye wito huu?

"Nikuombe utuletee mrejesho baada ya wito huu wa mgomo."



Haitakuwa ajabu kama kamanda Lissu kokote aliko atakuwa anasikitika kutokana na maendeleo mapya haya.

Ninao uhakika kuwa kamanda Lissu ana ufahamu ushupavu wa vijana wake, ambao jiwe katika ubora wake alitepeta vilivyo.

Cc: Zawadini
Mjomba jaribu kutofautisha yale maandamano ya kwenda kumpokea Lissu, na maandamano haya unayotaka sasa ya kudai haki, yale ya kwenda kumpokea Lissu hayakuwa na tatizo lolote toka kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Hata yale ya Aquilline [RIP] hayakuwa na vitisho kabla, yaliibuka ghafla tu ndio maana waandamanji ambao mwanzo walikuwa wamehudhuria tu mkutano wa siasa wakasonga, it was easy from that point of view..

Lakini maandamano ya kudai haki unajua nini kina Mambosasa walikuwa wakisema kabla kwa waandamanaji, ni vitisho tu, mfano mkitokea tutawavunja miguu!.

Ndio maana nasema na nitarudia tena kusema, wakenya wana ujasiri kuliko sisi, kwasababu wakati sisi tukiogopa vitisho vya kina Mambosasa, wao wanatishwa then wanasema wanataka kuionja tear gas ya 2023! kisha wanaingia barabarani..!! wakati sisi tukitishwa, Lissu haoni mtu, this is the fact wala sio kuukataa ukweli kama unavyosema.

Ndio maana hata hao vijana wa Lissu unaowazungumzia mimi sijui ni wapi, mbona hatukuwaona wakati ule Lissu aliposema akiibiwa kura hapatatosha? au hakuibiwa?!
 
Mjomba jaribu kutofautisha yale maandamano ya kwenda kumpokea Lissu, na maandamano haya unayotaka sasa ya kudai haki, yale ya kwenda kumpokea Lissu hayakuwa na tatizo lolote toka kwa vyombo vya ulinzi na usalama.

Hata yale ya Aquilline [RIP] hayakuwa na vitisho kabla, yaliibuka ghafla tu ndio maana waandamanji ambao mwanzo walikuwa wamehudhuria tu mkutano wa siasa wakasonga, it was easy from that point of view..

Lakini maandamano ya kudai haki unajua nini kina Mambosasa walikuwa wakisema kabla kwa waandamanaji, ni vitisho tu, mfano mkitokea tutawavunja miguu!.

Ndio maana nasema na nitarudia tena kusema, wakenya wana ujasiri kuliko sisi, kwasababu wakati sisi tukiogopa vitisho vya kina Mambosasa, wao wanatishwa then wanasema wanataka kuionja tear gas ya 2023! kisha wanaingia barabarani..!! wakati sisi tukitishwa, Lissu haoni mtu, this is the fact wala sio kuukataa ukweli kama unavyosema.

Ndio maana hata hao vijana wa Lissu unaowazungumzia mimi sijui ni wapi, mbona hatukuwaona wakati ule Lissu aliposema akiibiwa kura hapatatosha? au hakuibiwa?!

Mkuu kwenda kumpokea Lissu na Kiluvya enzi za aliyekuwa jiwe kweli kweli haikuwa cha mtoto.

Kumbuka Jiwe, Sirro na timu yao nzima ilisema tusiweke mguu JKNIA. Kukumbusha zaidi, katuni hIzi hazikuwa by accident:

Ed7tAaTXYAAKmfy.jpeg


Hata Kinondoni iliyoishia na kupoteza maisha ya mtu haikuwa ndondondo. Risasi za moto kinyama zilikuwa zikirushwa na mabazazi wale.

Zanzibar hii Maalim, waliokufa watu wengi, tukiambiwa kutokana na risasi za askari wa kukodiwa kutokea huko tunakochagizwa tuhamie:



"BIla Raila Odinga wakenya wametepeta kama sisi tu mjomba."

Kwamba wanataka tear gas, hiyo ni kwa sababu ya uwepo wa shujaa Odinga.

Siyo siri watu kama kina Lissu wanalo bashasha (charisma) lenye kuwaakisi waungwana wa aina za akina Kyagilanyi au Malema.

Ikumbukwe charisma hupewa na Mungu na si kila mtu anaweza kuwa nayo.
 
Back
Top Bottom