Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Majengo yalikuwa mawili, moja limebomolewaHilo jengo lilibomolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majengo yalikuwa mawili, moja limebomolewaHilo jengo lilibomolewa?
uko wapi mkuu ?Hilo jengo lilibomolewa?
uko wapi mkuu ?
Huko mama Kabendera na mama Mbilinyi wanamsuta kwa majivu.Magufuli aliwaumiza sana wana CHADEMA mpaka leo kawaacha na makovu. Hamtamsahau, mtamkumbuka mno!
Umeuliza swali duni mno !Sasa kama angekua ameamua out of chuki binafsi si angebomoa yote? Mbona lile jingine lilibakia?
Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania......Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"
Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .
Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !
Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .
Nakala : Peter Kibatala
Na ule uchaguzi wa kuzimiana mitandao ili tu ajitangaze 84% ndio unaona poa??Kwa sisi wa Tanzania magu ilitakiwa atawale milele
Wabongo wavivu sn akitokea mtu atuambie ukweli tunaanza kusema ni dictator
Nothing lasts longerTanzania ni CCM na CCM ni Tanzania......
Wazee wetu walimwaga damu zao katika Vita vya majimaji na matokeo yake wakazaliwa wale wazee wafanyakazi wa bandari....nao wakaizaa TAA....nao wakamjukuu TANU....hatimaye kitukuu chema CCM hichoooo......
Wewe utaandamwa na mizimu shauri zako.....
Hivi hujaisoma historia ya kule Bagamoyo wewe?!!!
Akina Shaykh Ramia ,watu wake na Mwalimu Nyerere?!!!
Unaichokoza mizimu ya huko na ya Kolelo ?!!! Si ndio eeee?!!!
Kitovu cha Tanzania kimeshazikwa na anayetaka kukifukua yatamkuta yakumkuta....shauri zenu......
Huu ndio ukweli....utake usitake....kwa kuwa maji yaliyoko BILAURINI hata kama ukiyakataa kuyanywa kamwe haitabadilisha yasiitwe MAJI......
Nimemaliza.....
#Siempre CCM[emoji120]
Kama chadema mlivyotuletea mgombea aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond.
Ushahidi unaonyesha kwamba hakuwahi kuchaguliwa na wananchi , kama unabisha Muulize Kinana , Kipilimba na JanuaryPia uwashtaki na wananchi waliompigia kura. [emoji1787]
Wewe hamnazo.Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"
Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .
Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !
Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .
Nakala : Peter Kibatala
Wagombea 2015 ilikuwa kopo na mfuniko.Kama chadema mlivyotuletea mgombea aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond.
We mwenyewe kichaa na faili tunalo bisha tulianike hapa..😂Mshtakiwa wa kwanza anapaswa kuwa Chikawe aliyekuwa Waziri anayeisimamia TISS.
TISS walikwishamaliza kazi kwa kuleta faili la psychiatry la Magufuli lakini Chikawe alilificha hakupeleka Kamati Kuu ya CCM.
Hivyo tumetawaliwa na kichaa kuanzia October 2015 hadi March 2021.
Atakayebisha hii hoja kuwa Magufuli hakuwa KICHAA, nitatafuta clip na kuiweka hapa ambayo alikiri mwenyewe kuwa yeye na Luaga Mpina aliyekuwa Waziri wa Uvuvi ni vichaa
Ruksa, lianike hapaWe mwenyewe kichaa na faili tunalo bisha tulianike hapa..😂
Binadamu hawezi kuwa malaika, bali anaweza kuwa kichaa (FAU).Kwahiyo akisema yeye ni malaika utasema ni uthibitisho wa kwamba yeye ni malaika?