Wito: Kamati Kuu ya CCM ifunguliwe Mashitaka Mahakama Kuu kwa Kumteua Mgombea Urais aliyekosa Sifa 2015

Wito: Kamati Kuu ya CCM ifunguliwe Mashitaka Mahakama Kuu kwa Kumteua Mgombea Urais aliyekosa Sifa 2015

We
Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia

Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"

Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .

Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !

Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .

Nakala : Peter Kibatala
wewe na fikra zako ovu shukuru mungu.
 
Mshtakiwa wa kwanza anapaswa kuwa Chikawe aliyekuwa Waziri anayeisimamia TISS.

TISS walikwishamaliza kazi kwa kuleta faili la psychiatry la Magufuli lakini Chikawe alilificha hakupeleka Kamati Kuu ya CCM.

Hivyo tumetawaliwa na kichaa kuanzia October 2015 hadi March 2021.


Atakayebisha hii hoja kuwa Magufuli hakuwa KICHAA, nitatafuta clip na kuiweka hapa ambayo alikiri mwenyewe kuwa yeye na Luaga Mpina aliyekuwa Waziri wa Uvuvi ni vichaa
Sijui alikutumbua nini stuxnet. Au ndio mlikua wezi wa TSA. Mlijibinafsishia bila kulipa sumuni mkagawana majumba na mali eti ni kampuni yenu. Nyooo hakika Jpm aliwakomoa.
 
Sijui alikutumbua nini stuxnet. Au ndio mlikua wezi wa TSA. Mlijibinafsishia bila kulipa sumuni mkagawana majumba na mali eti ni kampuni yenu. Nyooo hakika Jpm aliwakomoa.
TSA ndiyo nini? No matter what Magufuli hakustahili kuwa Rais wetu. Tulipigwa big time na CCM. Imagine Rais wa kulala kwenye mawe kama kenge??
20230302_103438.jpg
 
Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia

Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"

Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .

Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !

Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .

Nakala : Peter Kibatala
Mkuu sasa Kibatala wa watu afanyanye nini, ndie apeleke shauri mahakani?
 
Magufuli aliwaumiza sana wana CHADEMA mpaka leo kawaacha na makovu. Hamtamsahau, mtamkumbuka mno!
Mkuu suala hili la Mh. Magufuli halihusiani na vyama, Rais ni wa wote anajadiliwa kwa hadhi hiyo.
 
Kwa sisi wa Tanzania magu ilitakiwa atawale milele

Wabongo wavivu sn akitokea mtu atuambie ukweli tunaanza kusema ni dictator
Mkuu jina lako linakutabanisha, wewe ni mbinafi, ingekuwa bahari ya Hindi ungeipeleka kijijini kwenu
 
Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia

Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"

Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .

Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !

Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .

Nakala : Peter Kibatala
Ebu kwanza tuwekee hapa jamvini level of their education before kuwafungulia mashtaka, ili tuone kama kweli hicho unacho kisema kitafaa

Nafikiri hata elimu zao ni magumashi,
 
Sasa tunaye Rais ambaye anajua kwamba kazi No. 1 ya Urais ni kulinda Wananchi wake na Mali zao. Hongera sana. Ila napenda kuwakumbusha My. Kubenea na J. J. Mnyika, kwamba wakati wanaweka jiwe la uzinduzi wa barabara ya Morogoro Road njia 8 ya Kimara -Mbezi pale Stop-Over walimuomba Rais wa wakati huo awahurumie waliobomolewa nyumba zao, wakazi wa Kimara na Mbezi kwa kupisha ujenzi huo. Rais huyo aliwakatilia lakini wabunge hao waliwataka waliobolewa kutunza hati zao za nyumba zilizibolewa kwa maelekezo kwamba anaweza kuja Rais mwingine wakapata huruma yake. Hivyo nawakumbusha Ndugu Mnyika na Kubenea kufikisha kilio hicho cha watu wa Kimara na Mbezi kwa Mama, maana wale
wa Mwanza walipata msamaha wa Rais wa wakati huo. Aidha mimi mwenyewe nimuombe Mh. Dr. Rais, Mama S. S. Hassan awa-awangalie wakazi wa eneo hilo kwa jicho la tatu.
 
TSA ndiyo nini? No matter what Magufuli hakustahili kuwa Rais wetu. Tulipigwa big time na CCM. Imagine Rais wa kulala kwenye mawe kama kenge??View attachment 2544734
wewe ndio haunazo umejaa chuki ya kutumbuliwa labda. Yaani mengine yoote ya uchumi na kijamii aliyofanya huoni unachoona ni yeye kulala kwenye miamba. Unamjaji kwa sababu uselfish tu.
 
wewe ndio haunazo umejaa chuki ya kutumbuliwa labda. Yaani mengine yoote ya uchumi na kijamii aliyofanya huoni unachoona ni yeye kulala kwenye miamba. Unamjaji kwa sababu uselfish tu.
Wewe na akili zako unaweza kujianika kwenye miamba kama huyo HAYAWANI wa Chato. Jibu hili kwanza ndipo tuendelee
20230302_103452.jpg
 
Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia

Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"

Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .

Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !

Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .

Nakala : Peter Kibatala
Akikuachia mimba changa!
 
Naunga mkono hoja. Lakini Mungu anaipenda Nchi yetu sana. Maana pamoja na makosa ya akina Kikwette kumpitisha 2015 lakini alipoamua kuiba uchaguzi wote wa 2020, Mungu hakumuacha avuke March 17, 2021.

Endelea kuungua na moto Magufuli
Unamaanisha kama aliiba uchaguzi kwa hiyo hata Rais tuliyenae si halali? Maana alitokana na uchaguzi huo, ni hivyo?
 
Mshtakiwa wa kwanza anapaswa kuwa Chikawe aliyekuwa Waziri anayeisimamia TISS.

TISS walikwishamaliza kazi kwa kuleta faili la psychiatry la Magufuli lakini Chikawe alilificha hakupeleka Kamati Kuu ya CCM.

Hivyo tumetawaliwa na kichaa kuanzia October 2015 hadi March 2021.


Atakayebisha hii hoja kuwa Magufuli hakuwa KICHAA, nitatafuta clip na kuiweka hapa ambayo alikiri mwenyewe kuwa yeye na Luaga Mpina aliyekuwa Waziri wa Uvuvi ni vichaa
Kichaa aliyemudu kuanzisha miradi mikubwa ya mkakati
 
Back
Top Bottom