Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Siyo watu wote ni wajinga kama wewe, kama hakuna maovu mbona Nyerere na Mkapa hawasemwi kwa maovu kama yeye?Tatizo hamna hata ushahidi wa huo wizi au hayo maovu mnayosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo watu wote ni wajinga kama wewe, kama hakuna maovu mbona Nyerere na Mkapa hawasemwi kwa maovu kama yeye?Tatizo hamna hata ushahidi wa huo wizi au hayo maovu mnayosema
Mwenyewe alikuwa mwizi balaa
Majangili ya nchi
Tatizo hamna hata ushahidi wa huo wizi au hayo maovu mnayosema
Kwenye ccm hamna wakati ambao rais aliyepita anaweza kuweka rais ajae anaemtaka yeye. Hii alifanya Nyerere tu.Jk angeridhia makubaliano yake na Lowasa, Magu asingekuwa Raisi
Shida ni nyinyi wafanyabiashara au watoto wao au chadema ambao mlikabwa koo kwenye kulupa kodi na mambo mengine ya ajabu.Siyo watu wote ni wajinga kama wewe, kama hakuna maovu mbona Nyerere na Mkapa hawasemwi kwa maovu kama yeye?
Hayo ni ya kwako. Samia kaletwa na Mungu, na nchi iko salama mikononi mwakeUnamaanisha kama aliiba uchaguzi kwa hiyo hata Rais tuliyenae si halali? Maana alitokana na uchaguzi huo, ni hivyo?
Miradi mikubwa ya kimkakati ndiyo nini? Kwani hii Tanzania unayoiona imeanza mwaka 2015? Chukua muda na tumia akili "kama unazo" ili ujuwe kuanzia Nyerere 1961-85 nini kilifanyika. Angalia barabara za kuanzia Dar- Tunduma, TAZARA na uanzishaji mashirika ya umma zaidi ya 400 huku kuna umoja wa kitaifa na elimu bure. Nenda kamuangalie AH Mwinyi 1985-1995 uone alifanya nini kwenye kuleta soko huria, barabara za njia 2 Dar es Salaam na barabara za Arusha SegeraKichaa aliyemudu kuanzisha miradi mikubwa ya mkakati
Ufara huoAcha kuweweseka kijana. Je kiongozi wa magaidi kuongoza kikao cha kamati kuu kumpitisha mgombea urais ni jambo jepesi?
Asante kwa darasa muruwa .Miradi mikubwa ya kimkakati ndiyo nini? Kwani hii Tanzania unayoiona imeanza mwaka 2015? Chukua muda na tumia akili "kama unazo" ili ujuwe kuanzia Nyerere 1961-85 nini kilifanyika. Angalia barabara za kuanzia Dar- Tunduma, TAZARA na uanzishaji mashirika ya umma zaidi ya 400 huku kuna umoja wa kitaifa na elimu bure. Nenda kamuangalie AH Mwinyi 1985-1995 uone alifanya nini kwenye kuleta soko huria, barabara za njia 2 Dar es Salaam na barabara za Arusha Segera
Halafu njoo kwa BW Mkapa uone Baba wa uchumi na miundombinu namna alivyoteremsha deni la taifa. Yeye ndiye aliyehakikisha barabara ya Kahama-Nzega- Singida-Dodoma inakamilika ili Watanzania wa Kagera wasipite Uganda na Kenya wanapokwenda makwao
Mwishowe njoo kwa JKikwete uone alivyomailizia kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami kasoro Tabora - Mbeya.
Hawa watangulizi walifanya mengi kuliko hayo ila hawakuwa watu wa masifa kwa sababu walijuwa ndiyo kazi yao.
Nyinyi wajinga akina Siddo mumeingia mtego wa propaganda zake kwa kuwa hamkuwa na akili ya kutafuta taarifa. Kujenga faraja au kununua ndege isiwe excuse ya kuua watu bila sababu
Hii kesi inafunguliwa lini?Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"
Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .
Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !
Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .
Nakala : Peter Kibatala
Unanikumbusha watu wanao ahirisha kufikiri,yaani kwa lugha rahisi kujitoa ufahamu,,(kujizima data), unyumbu Ndiyo linaeleweka vizuriMiongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"
Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .
Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !
Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .
Nakala : Peter Kibatala
Pinga hoja kwa hojaUnanikumbusha watu wanao ahirisha kufikiri,yaani kwa lugha rahisi kujitoa ufahamu,,(kujizima data), unyumbu Ndiyo linaeleweka vizuri
Leo Nimetonywa kuwa shida inayozikumba social security fund pamomoja na nhif ni yeye kuchukua mihela na kwenda kutapanya anakokujuaMiongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"
Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .
Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !
Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .
Nakala : Peter Kibatala
Hoja Gani unataka ipingwe kwa hoja inamaana hujui mabingwa wa kuahirisha kufikiri, tumia akili mnembo, ila km unataka tuwe tunagonga kwenye msumari SawaPinga hoja kwa hoja
Waliomuweka wakamatwe harakaLeo Nimetonywa kuwa shida inayozikumba social security fund pamomoja na nhif ni yeye kuchukua mihela na kwenda kutapanya anakokujua
Imepelekea nhif, nssf zote kufa ndo maana unaona wahangaika na kikokotoo
Magufuli alikuwa na mambo ya ajabu ajabu sana
Umeandika nini?Miongoni mwa mambo ambayo nchi hii itajutia katika maisha yake yote yaliyosalia hapa duniani ni kuruhusu John Magufuli kuwa Rais wake , aliyoyatenda alipokuwa Rais kwa hiyo miaka mitano na Ushee kila mtu ameyaona , hakuna haja ya kuyarudia
Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri , kila mwenye macho aliona mambo aliyoyatenda akiwa Waziri , yalikuwemo Mazuri na Mabaya , huyu aliisababishia serikali hasara kwa kukamata meli ya uvuvi , hakuna aliyesahau hili , alipania kubomoa jengo la Tanesco Ubungo , akakatazwa na Mizengo Pinda , lakini alipotwaa madaraka akalibomoa , wala barabara iliyojengwa haikufika hata ulipokuwa ukuta wa Jengo hilo , hakuwa na sababu yoyote ya kulibomoa zaidi ya ile "UNANIJUA MIMI NI NANI"
Magufuli hakuwahi kuwa muumini wa Demokrasia kuanzia jimboni kwake , mara zote alifanya njama ili apite bila kupingwa , Uongozi ni jambo la Pamoja , yeye aliamini kwenye akili yake tu , haya yote viongozi wake wa chama waliyajua .
Ziara ya Marekani ya Rais Samia imeweka wazi yale yote tuliyokuwa tunayatilia shaka , Ripoti ya CAG imeonyesha wazi kwamba Magufuli hakuwahi kuwa Mlinzi wa rasilimali za Taifa kama tulivyodhani , alitudanganya na Ukuta wa Mererani huku madini yakiibwa !
Kwa kufupisha , Natoa wito kwa Wadau wote wenye uchungu na nchi hii KUWAFUNGULIA MASHITAKA JAKAYA KIKWETE , ABDULRAHMAN KINANA , waliokuwa viongozi wa juu wa ccm na Kamati Kuu ya Chama hicho kwa kuruhusu John Magufuli kugombea Urais wa Tanzania huku wakijua kwamba ana Mapungufu ya kutisha .
Nakala : Peter Kibatala