Wito kwa ACT-Wazalendo na CHADEMA juu ya maisha baada ya uchaguzi

Wito kwa ACT-Wazalendo na CHADEMA juu ya maisha baada ya uchaguzi

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Baada ya vituko vya tume za NEC na ZEC ,sasa wamekuja na mtego wakutaka kutushirikisha kuhalalisha wizi wao
Naomba vyama hivi viwili na wakimjumuisha rungwe (Chauma) na NLD sio mbaya wafanye yafuatayo

1.Wasikubali kushirikishwa kwenye serikali ya muafaka wa kitaifa kule Zanzibar na pia wasikubali kupokea nafasi za viti maalumu kwenye bunge la Muungano

2.Waunde kamati ndogo ya ushirikiano itakayoendesha Muungano wa vyama hivi kwa kipindi hiki kigumu

3.Sasa tujenge miundombinu ya vyama vyetu ikiwemo office na media

4.Kamati hiyo ndogo iweke utaratibu wa sisi wapenda haki kuchangishana ili tuuanze ujenzi wa ofisi za chama kila wilaya ambapo ni kama 3.3bilion ukiwa kila wilaya itatumia shilingi 15M ,ambapo ni sawa na kila aliyetupigia kura kutoa shilingi elfu 5 tuu.

Tusizubae ,tusilalamike sana washatupora na kesi zinaendelea mahakamani.

Tujikaze kiume tuwaonyeshe sisi ni zawadi toka kwa Mungu

CHADEMA ACT Wazalendo Zitto CHAUMMA Tanzania
Tundu Lissu Tumaini Makene
Molemo Erythrocyte
 
Barikiwa kwa andiko hili mkuu Mungu akubariki, cha kuongeza pamoja na michango ya ujenzi, michango ya kusaidia watu wote walio jela wa vyama vyote tajwa hapo kwa kuhakikisha Kila mhanga anapata mawakili wa kuwatete kikamilifu nchi nzima
 
Watafute soft targets wadili nazo underground - Wasimamizi wa uchaguzi, CCM waliofaidika na wizi, wajaribu hata ku-target kilele pale juu. Mbona iliwezekana kule Zanzibar 1972? Heshima itarudi wakiamua kujitoa. Vinginevyo sioni CCM ikibadilika. Labda tuombe atokee "de Clerk" huko CCM.
 
Watafute soft targets wadili nazo underground - Wasimamizi wa uchaguzi, CCM waliofaidika na wizi, wajaribu hata ku-target kilele pale juu. Mbona iliwezekana kule Zanzibar 1972? Heshima itarudi wakiamua kujitoa. Vinginevyo sioni CCM ikibadilika. Labda tuombe atokee "de Clerk" huko CCM.
Umefika mbali sana,tuanze na demokrasia ya kidplomasia
 
Barikiwa kwa andiko hili mkuu mungu akubariki ,Cha kuongeza pamoja na michango ya ujenzi ,michango ya kusaidia watu wote walio jela wa vyama vyote tajwa hapo kwa kuhakikisha Kila mhanga anapata mawakili wa kuwatete kikamilifu nchi nzima
Amina ,wazo zuri sana
Tuwatoe ndugu zetu
Tujenge ushirikiano
Tuwe na miundombinu ya vyama
Tuwe na media yetu hasa Tv
 
Hakuna kitu na hiyo diplomasia yako. Tangu 1995 wanaibiwa. Mpaka Maalim Sief sasa amezeeka. Wajitoe fahamu wale vichwa. Utaona amani, haki na usawa vinapatikana. Ndio ushauri wangu huo. Hata Mandela alianza mapambano yake kwa amani lakini Makaburu hawakumwelewa. Ikabidi aanze kula vichwa...
Umefika mbali sana,tuanze na demokrasia ya kidplomasia
 
Tupo katika vita nashauri mbinu zote zitumike , kwa kuwa maamuzi ya mahakama bado wajiunge na serikali bila mashariti kufuta mashauri kesi.
 
Back
Top Bottom