Wito kwa Serikali: Ikiwa hazina ya nishati ya mafuta ipo basi haraka yachimbwe

Wito kwa Serikali: Ikiwa hazina ya nishati ya mafuta ipo basi haraka yachimbwe

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Huko ulimwenguni wameshatabiri kuwa bei ya mafuta itazidi kupaa hadi 2045, kama hamuelewi maana ya mwendo kasi mtaielewa, ile ya kauli ya piga tajame TZ haifai kutumika tena.

Serikali kama inavyofukua madini basi sasa wakati umefika wa kuivuta juu hazina ya mafuta, na kwa vile kiwanda cha kusafishia mafuta kipo mbona kazi itakuwa rahisi.

Tusitegemee mafuta ya Uganda kwani mtegemea cha ndugu tunasema hufa masikini.

Serikali ya CCM ambayo ipo madarakani fanyeni hima juu chini hii sera muitangaze ingawa ACT wameshaanza kuhubiri, siku wakiitwaa serikali ya Zanzibar basi hawana simile na uchimbaji wa kuyavuta mafuta na si kuyatafuta tena kwani yapo yamejaa na inasemwa huko Pemba misitu inakauka kwa vuke la mafuta, kama Sultani wa Zanzibar alisema anawaachia vizazi basi sasa vizazi vipo tayari.

Msingojee siku mnaaza kuchimba watu duniani hawatumii tena injini za mafuta wanatumia umeme na tayari hybrid zimeanza kwa kasi huko ulimwenguni.

Msije kusema sikuwakumbusha - Mwiba.
 
Hatuna haki ya kuchimba mafuta mpaka tuombe ruhusa kwa wazungu (rejea uganda na ufaransa) bado tunatawaliwa, na wakituruhusu tutaambulia hela parcent kidogo sana, wazungu wanamiliki migodi yote ya mafuta. Wazungu si watu wazuri.
 
Hatuna haki ya kuchimba mafuta mpaka tuombe ruhusa kwa wazungu(rejea uganda na ufaransa)bado tunatawaliwa, na wakituruhusu tutaambulia hela parcent kidogo sana, wazungu wanamiliki migodi yote ya mafuta
Wazungu si watu wazuri
[emoji1787][emoji1787]
 
Tanzania haina mafuta ya kuchimba. Tuna gas na makaa ya mawe, siyo mafuta.
 
Mimi sio Mwanajiolojia lakini Mkoa wa Singida kwenda hadi Tabora na haswa Wilaya ya Igunga kweli pale hapakosekani Mafuta pale kweli?

Kenya pia walikuwa wakisema hawana Mafuta mpaka mchimba visima vya Maji huko Turkana alipokuwa aki drill Maji yakatoka Mafuta.

Wenyeji walipomuuliza akawawaambia ni Maji machafu akenda kuwachimbia sehemu nyingine yeye akaziba kile Kisima akaenda kuuza siri kwenye Makampuni makubwa akavuta mpunga lakini nasikia alifuatiliwa na kuuwawa.
 
Mkuu, ile MIA iliyowekwa kwa tulichoambiwa kuwa bei ya mafuta hayo inashuka imeondolewa au bado ipo?
Pana wengine wanasema eti serikali iweke ruzuku, hili mie siliafiki asilan.
 
Mimi sio Mwanajiojia lakini Mkoa wa Singida kwenda hadi Tabora na haswa Wilaya ya Igunga kweli pale hapakosekani Mafuta pale kweli?

Kenya pia walikuwa wakisema hawana Mafuta mpaka mchimba visima vya Maji huko Turkana alipokuwa aki drill Maji yakatoka Mafuta.

Wenyeji walipomuuliza akawawaambia ni Maji machafu akenda kuwachimbia sehemu nyingine yeye akaziba kile Kisima akaenda kuuza siri kwenye Makampuni makubwa akavuta mpunga lakini nasikia alifuatiliwa na kuuwawa.
Kwanini waliamua Sasa wajameni?
 
Mkuu, ile MIA iliyowekwa kwa tulichoambiwa kuwa bei ya mafuta hayo inashuka imeondolewa au bado ipo?
Pana wengine wanasema eti serikali iweke ruzuku, hili mie siliafiki asilan.
Kula Chuma hiko
 
Kweli Africa n Bara la Giza
Kampuni yenyewe inaitwa Tullow Oil kama sikosei juzijuzi tena imepata pigo.

I think the biggest blow Project Oil Kenya—the discovery, in 2021, of oil deposits in Turkana County—has suffered so far is the recent withdrawal of two of the joint venture partners. Canadian firm Africa Oil and the French oil major Total Energies have quit, leaving Tullow Oil as the monopoly in the core product.31 May 2023.
 
Back
Top Bottom