Mafuta yapo tena kwa historia kabisa,achilia huku kwetu bara,Zanzibar wanayo hazina ya mafuta kuliko waliyonayo waarabu,inasemwa kuwa miamba ya mafuta waliyonayo waarabu kina chake kipo mitaa ya Pemba,kuna sehemu inaitwa Meli mbili hapa kipo drilled wakati wa utawala wa Sultani (wazee ndivyo wanavyo hadithia) na iliwahi kudhukuriwa habari hio wakai wa kampeni za CUF wakati ule wa maalim Seifu.
Tulipo ni marejeo ya enzi za habari za usulutani
Since the start of oil and gas exploration in Tanzania, a total of 96 wells have been drilled so far and 44 of them turned successful with natural gas worth 57.4 trillion cubic feet. The wells include two drilled in Zanzibar-Pemba block which Dr Mwinyi said contain 3.8 trillion cubic feet of natural gas.
Tuachaneni na mabeberu wa kizung tuhamie China Urusi yaani hawa jama hawana noma kabisa watatuzchimbia mafuta na kwa wao kupata au kuchukua faida ndogo sana,
Ila mabeberu na mafahali wao kila siku ni exploration mpaka kiyama.