Mimi si mchumi ila kwa maoni yangu, ili uchumi ukue inabidi kwanza kuwe na uzalishaji unaoenda sambamba ama kwa karibu na population.
Ukuaji wa uchumi unaanzia kwenye ngazi ya familia, kama familia inachozalisha ni kidogo kisichotosheleza familia basi na uchumi kwa ujumla utaathirika, ambao wengi wetu tunaulenga na kuutizamia, kama tujuavyo kuna micro na macro economy, figure zinazopigiwa debe ni za macro economy wakati micro economy inabeba fungu kubwa la watanzania maskini .