Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Husika mada tajwa hapo juu!
Binafsi nitambua umuhimu wa biashara hii kwa sababu nimekua nikijielekeza katika eneo hilo hivi karibuni kwa nsaada wa tovuti kadhaa mtandaoni ,ninaamin kupitia uelewa wa mambo haya wengi wetu tutaweza kufaidika biashara kwa kujipatia mitaji na faida zingine mbalimbali.kwa Tanzania hii ni fursa ambayo wengi wetu hatujaitambua na wachache walioitambua wanaifanya kwa woga,ninatoa mwaliko kwa mwanajf yoyote wenye uelewa wa kutosha ktk eneo hili atengeneze thread yenye taaluma hii kwa kina waweza kuwa Msaada kwa wengi!
Nawasilisha!
Binafsi nitambua umuhimu wa biashara hii kwa sababu nimekua nikijielekeza katika eneo hilo hivi karibuni kwa nsaada wa tovuti kadhaa mtandaoni ,ninaamin kupitia uelewa wa mambo haya wengi wetu tutaweza kufaidika biashara kwa kujipatia mitaji na faida zingine mbalimbali.kwa Tanzania hii ni fursa ambayo wengi wetu hatujaitambua na wachache walioitambua wanaifanya kwa woga,ninatoa mwaliko kwa mwanajf yoyote wenye uelewa wa kutosha ktk eneo hili atengeneze thread yenye taaluma hii kwa kina waweza kuwa Msaada kwa wengi!
Nawasilisha!