Wito kwa Watanzania , Afya yako ndio mtaji wako , Usiburuzwe na yeyote kwa sababu zozote zile , fuata mwongozo halali tu.

Wito kwa Watanzania , Afya yako ndio mtaji wako , Usiburuzwe na yeyote kwa sababu zozote zile , fuata mwongozo halali tu.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bila kumung'unya maneno naanza moja kwa moja kuwaasa wananchi wa Tanzania kulinda afya zenu wenyewe , hii ni kwa sababu usalama wa maisha yako ni HAKI YA KIKATIBA , mtu mdogo kama Meya wa Manispaa yoyote ile aliyetokana na udiwani wa kata hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuamuru mtu yeyote ahatarishe maisha yake ili awafurahishe viongozi wake .

Wala hakuna mtu yeyote mwingine mwenye cheo chochote kile kwenye nchi hii aliyeruhusiwa na KATIBA YA NCHI kuhatarisha maisha ya raia yeyote kwa sababu zozote zile , hivyo basi wananchi wote mnapaswa kupinga kwa nguvu zote hujuma zozote dhidi ya Uhai wenu kutoka kwa mtu yeyote mwenye cheo chochote , wala msione aibu kupigania kanuni bora za afya za kujikinga na maradhi ya mlipuko au maradhi mengine yeyote , kwa sababu HAKI YENU YA KUISHI MLIYOPEWA NA MUNGU inalindwa na Katiba ya nchi .

Naomba kuwasilisha .
 
MBOWE anajali sana afya zetu kuliko yule anayesimama madhabahauni daily, Ni 666.
Hivi mtu unaanzaje kuongea uwongo madhabahuni huku ukijiita wewe Ni msemakweli?
Huyu mshikaji, ana bahati, Mungu wetu ni mwingi wa huruma na rehema. Angekuwa mungu mwingine ambaye hajawahi kuumba, wala hafanani na chochote, wallah angemchoma visu.
 
MBOWE anajali sana afya zetu kuliko yule anayesimama madhabahauni daily, Ni 666.
Hivi mtu unaanzaje kuongea uwongo madhabahuni huku ukijiita wewe Ni msemakweli?
Huyu mshikaji, ana bahati, Mungu wetu ni mwingi wa huruma na rehema. Angekuwa mungu mwingine ambaye hajawahi kuumba, wala hatanani na chochote, wallah angemchoma visu.
Mbowe yupi?
 
Bila kumung'unya maneno naanza moja kwa moja kuwaasa wananchi wa Tanzania kulinda afya zenu wenyewe , hii ni kwa sababu usalama wa maisha yako ni HAKI YA KIKATIBA , mtu mdogo kama Meya wa Manispaa yoyote ile aliyetokana na udiwani wa kata hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuamuru mtu yeyote ahatarishe maisha yake ili awafurahishe viongozi wake .

Wala hakuna mtu yeyote mwingine mwenye cheo chochote kile kwenye nchi hii aliyeruhusiwa na KATIBA YA NCHI kuhatarisha maisha ya raia yeyote kwa sababu zozote zile , hivyo basi wananchi wote mnapaswa kupinga kwa nguvu zote hujuma zozote dhidi ya Uhai wenu kutoka kwa mtu yeyote mwenye cheo chochote , wala msione aibu kupigania kanuni bora za afya za kujikinga na maradhi ya mlipuko au maradhi mengine yeyote , kwa sababu HAKI YENU YA KUISHI MLIYOPEWA NA MUNGU inalindwa na Katiba ya nchi .

Naomba kuwasilisha .
Sawa
 

Zab 118:22-24 SUV​

Jiwe walilolikataa waashi Limekuwa jiwe kuu la pembeni. Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu. Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA, Tutashangilia na kuifurahia.
Acha upumbavu wa kunukuu maandiko kwa mambo ya kipuuzi
 
Bila kumung'unya maneno naanza moja kwa moja kuwaasa wananchi wa Tanzania kulinda afya zenu wenyewe , hii ni kwa sababu usalama wa maisha yako ni HAKI YA KIKATIBA , mtu mdogo kama Meya wa Manispaa yoyote ile aliyetokana na udiwani wa kata hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuamuru mtu yeyote ahatarishe maisha yake ili awafurahishe viongozi wake .

Wala hakuna mtu yeyote mwingine mwenye cheo chochote kile kwenye nchi hii aliyeruhusiwa na KATIBA YA NCHI kuhatarisha maisha ya raia yeyote kwa sababu zozote zile , hivyo basi wananchi wote mnapaswa kupinga kwa nguvu zote hujuma zozote dhidi ya Uhai wenu kutoka kwa mtu yeyote mwenye cheo chochote , wala msione aibu kupigania kanuni bora za afya za kujikinga na maradhi ya mlipuko au maradhi mengine yeyote , kwa sababu HAKI YENU YA KUISHI MLIYOPEWA NA MUNGU inalindwa na Katiba ya nchi .

Naomba kuwasilisha .
Haki ya kuishi inalindwa na katiba, na katiba ikiondoa haki ya kuishi si utakufa?
Haki pekee yenye nguvu ni ya mungu tu mengine ni mbwembwe tu.

Hebu tujikumbushe pesa ya bando bado mnapewa ya ruzuku ikiwamo ya wale covid 19?
Sisikii kelele zenu au mkate umekuwa lakini kwenye chai?
 
Acha upumbavu wa kunukuu maandiko kwa mambo ya kipuuzi
Jibu hoja kwa hoja bora zaidi acha matusi na dharau kwa mchangiaji mwenye haki kama wewe,na nina wasiwasi na familia yako nayo unaiharibu kwa hasira zako ,respect mawazo ya mwenzako na sio kutoa kashfa na dharau.
 

IMG-20210129-WA0023.jpg
 
Haki ya kuishi inalindwa na katiba, na katiba ikiondoa haki ya kuishi si utakufa?
Haki pekee yenye nguvu ni ya mungu tu mengine ni mbwembwe tu.

Hebu tujikumbushe pesa ya bando bado mnapewa ya ruzuku ikiwamo ya wale covid 19?
Sisikii kelele zenu au mkate umekuwa lakini kwenye chai?
Ukishafukuzwa Chadema hatima yako inakwisha mara moja , hatujadili wanachama wa vyama vingine
 
Jibu hoja kwa hoja bora zaidi acha matusi na dharau kwa mchangiaji mwenye haki kama wewe,na nina wasiwasi na familia yako nayo unaiharibu kwa hasira zako ,respect mawazo ya mwenzako na sio kutoa kashfa na dharau.
asipoelewa hapa basi akapimwe akili
 
Jibu hoja kwa hoja bora zaidi acha matusi na dharau kwa mchangiaji mwenye haki kama wewe,na nina wasiwasi na familia yako nayo unaiharibu kwa hasira zako ,respect mawazo ya mwenzako na sio kutoa kashfa na dharau.
Mungu hadhihakiwi.
 
Mungu hadhihakiwi.
Ila ni ok kwa no 1 wako kumdhihaki Mungu (mimi bado ninaabudu mizimu yangu)angalia familia zilizopoteza wapendwa wao kwenye awamu yake ya utawala,wewe endelea kuishi kwenye ivory tower yako but one day itakapotokea utakapopoteza mpendwa wako ndio utatambua whats happening on the ground.shame on you
 
Ila ni ok kwa no 1 wako kumdhihaki Mungu (mimi bado ninaabudu mizimu yangu)angalia familia zilizopoteza wapendwa wao kwenye awamu yake ya utawala,wewe endelea kuishi kwenye ivory tower yako but one day itakapotokea utakapopoteza mpendwa wako ndio utatambua whats happening on the ground.shame on you
Sorry for that.
 
MBOWE anajali sana afya zetu kuliko yule anayesimama madhabahauni daily, Ni 666.
Hivi mtu unaanzaje kuongea uwongo madhabahuni huku ukijiita wewe Ni msemakweli?
Huyu mshikaji, ana bahati, Mungu wetu ni mwingi wa huruma na rehema. Angekuwa mungu mwingine ambaye hajawahi kuumba, wala hafanani na chochote, wallah angemchoma visu.
Eeee bhana eeee !!
 
Bavicha amuishi mihemko na kejeli,mbaya zaidi mnajifanya wema kumbe kwenye nafsi zenu mna husda na chuki.
 
Back
Top Bottom