Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Jukwaa limejaa habari za Kenya pekee, Vipi nyie mko sawa sawa? au ni kwa sababu Taifa limejaaa Mazezeta? Unamshauri Ruto vipi Mama yenu? au yuko sawa kwa sababu Nchi imejaaa wapumba kama weww hapo?Wadau hamjamboni nyote?
Huu ni wito wangu binafsi kwa Mheshimiwa William Ruto Rais wa Jamhuri ya Kenya ambao umezingatia maslahi mapana ya nchi hiyo!
Mheshimiwa
Nikuombe Ndugu yangu uchutame, usione aibu wala fedhea, chutama, zika ufahari wako, usisite, usijali, usiogope, usione aibu wala fedhea , wewe nenda tu mtafute Mheshimiwa Uhuru naamini yapo mengi utajifunza kwake
Nikuombe utambue kuwa yaliyopita hayana nafasi muda huu chamsingi ukiwa wewe ndiye nahodha tambua kuwa chombo kinazama baharini hivyo ni muhimu kuokosa jahazi kwa njia zozote!
Please bury your pride
Niwatakie usiku mwema Ndugu zetu wake ya
Niwatakie usiku mwema Ndugu zetu Watanzania
Aende kwa Putin, yeye ndo asili ya jambo hiliWadau hamjamboni nyote?
Huu ni wito wangu binafsi kwa Mheshimiwa William Ruto Rais wa Jamhuri ya Kenya ambao umezingatia maslahi mapana ya nchi hiyo!
Mheshimiwa
Nikuombe Ndugu yangu uchutame, usione aibu wala fedhea, chutama, zika ufahari wako, usisite, usijali, usiogope, usione aibu wala fedhea , wewe nenda tu mtafute Mheshimiwa Uhuru naamini yapo mengi utajifunza kwake
Nikuombe utambue kuwa yaliyopita hayana nafasi muda huu chamsingi ukiwa wewe ndiye nahodha tambua kuwa chombo kinazama baharini hivyo ni muhimu kuokosa jahazi kwa njia zozote!
Please bury your pride
Niwatakie usiku mwema Ndugu zetu wake ya
Niwatakie usiku mwema Ndugu zetu Watanzania