Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Netanyau
Hao ni adui zenu milele na huu muda wanajipanga na watarudi kwa nguvu kubwa wakiwa na ghazabu tele
Ungezingatia maagizo ya Yahwe alompatia Nabii Mussa haya yasingalitokea
Haitopata itokee wakawa marafiki zenu hata siku moja na hilo unalijua ila sijui nini kimekutokea hadi kuamua kukaa nao pamoja na kisha kukubaliana
Uliona wapi simba wa kabila la Yuda akawa mnyonge na kisha kuingia mkataba na adui zake?
Vitabu vyajieleza hebu tafadhali nenda jisomee
Netanyau ni bora ujiuzulu haraka kutunza heshima ya taifa takatifu, umetuangusha
Vita dhidi ya magaidi lazima iendelee
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Usiku mwema
Netanyau
Hao ni adui zenu milele na huu muda wanajipanga na watarudi kwa nguvu kubwa wakiwa na ghazabu tele
Ungezingatia maagizo ya Yahwe alompatia Nabii Mussa haya yasingalitokea
Haitopata itokee wakawa marafiki zenu hata siku moja na hilo unalijua ila sijui nini kimekutokea hadi kuamua kukaa nao pamoja na kisha kukubaliana
Uliona wapi simba wa kabila la Yuda akawa mnyonge na kisha kuingia mkataba na adui zake?
Vitabu vyajieleza hebu tafadhali nenda jisomee
Netanyau ni bora ujiuzulu haraka kutunza heshima ya taifa takatifu, umetuangusha
Vita dhidi ya magaidi lazima iendelee
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Usiku mwema