WITO:Serikali iruhusu baadhi ya shule zake za msingi zifundishe kwa lugha ya kiarabu sawa na zile za English medium

WITO:Serikali iruhusu baadhi ya shule zake za msingi zifundishe kwa lugha ya kiarabu sawa na zile za English medium

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Serikali yetu sikivu iruhusu shule zake za msingi zitoe elimu kwa lugha ya kiarabu Kwa kuzingatia mitaala ya kiserikali sawasawa na zile za kiingereza almaarufu english medium

Lugha ya kiarabu ni kubwa tena ya kimataifa na mahitaji yake ni makubwa kama ilivyo kiingereza

Niwatakie siku njema
 
Wadau hamjamboni nyote?

Serikali yetu sikivu iruhusu shule zake za msingi zitoe elimu kwa lugha ya kiarabu Kwa kuzingatia mitaala ya kiserikali sawasawa na zile za kiingereza almaarufu english medium

Lugha ya kiarabu ni kubwa tena ya kimataifa na mahitaji yake ni makubwa kama ilivyo kiingereza

Niwatakie siku njema
Nani anapenda kujua kiharabu? Au unadhani wote humu ni wavaa makubasi wanataka kujua juzu za mtume?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Serikali yetu sikivu iruhusu shule zake za msingi zitoe elimu kwa lugha ya kiarabu Kwa kuzingatia mitaala ya kiserikali sawasawa na zile za kiingereza almaarufu english medium

Lugha ya kiarabu ni kubwa tena ya kimataifa na mahitaji yake ni makubwa kama ilivyo kiingereza

Niwatakie siku njema
Wakurd wanakataa lugha ya kiarabu na mila zake na wenyewe ni wa hukohuko tena waislam. Lakini minigger mieusii tii kama tako la Iddi Amin yenye sijdah kuubwaa kama chapati pajini tena inaonekana licha ya uweusi wao yanashadadiah utopolo

Kay-Ngay

Nyau de adriz
 
Kama unataka kusoma ki-arab nenda Iran au Palestine
 
Wadau hamjamboni nyote?

Serikali yetu sikivu iruhusu shule zake za msingi zitoe elimu kwa lugha ya kiarabu Kwa kuzingatia mitaala ya kiserikali sawasawa na zile za kiingereza almaarufu english medium

Lugha ya kiarabu ni kubwa tena ya kimataifa na mahitaji yake ni makubwa kama ilivyo kiingereza

Niwatakie siku njema
Kah we jamaa mbona unaenda kinyume kinyume saa, uarabuni huko wanapambana kufundisha lugha ya kiingereza, kwani huoni wanakimbilia ulaya
 
Kwa kifupi nchi ambazo tuna muingiliano wa kibiashara kama arabuni, uchina tunapaswa kujua lugha zao kwa maslahi mapana ya nchi. Leo nimeona chanel 10, wachina wana kipindi cha kiswahili ifahamu china.

Note kama tutafungwa na historia ya utumwa, tutakimbia baadhi ya lugha ikiwemo kiarabu ,ingawa wakoloni hao hao wamefanya ya kutisha Congo tangu ukololoni hadi leo

Rejea uzi huu
 
Back
Top Bottom