Wito wa dereva wamkuu wa... kwa wafuatao


Wataka kuniambia kila jukwaa na ID yake?
kwa faida gani hasa, huyu watu8 haitwi watu8 huko kitaa, sasa anaficha nini kuweka id nyingine?
mbona Mimi naingia PM live na eli79...
 
Last edited by a moderator:
Wataka kuniambia kila jukwaa na ID yake?
Haswaaa...na hili ni jambo la kawaida kabisa hapa JF...

kwa faida gani hasa, huyu watu8 haitwi watu8 huko kitaa, sasa anaficha nini kuweka id nyingine?

Kwa kifupi watu hatufanani na wala sio suala la kuficha...

Kwani kuna shida gani mtu akitumia ID zaidi ya moja maadamu havunji sheria za jukwaa?

Mathalani mtu ana nyaraka za siri za kiserikali anataka kuziweka hapa lakini anahitaji kuficha identity, unadhani atatumia mbinu ipi? (Kama umekuwepo tangu enzi za Jambo Forums nadhani utajua ilivyokuwa motomoto enzi hizo)

mbona Mimi naingia PM live na eli79...

Kwa kuwa umechagua kuishi hivyo...kupanga ni kuchagua...
 

if you say so!!!!!
 
Lengo la thread;
watu8 rudisha hivi vichwa kwa daladala tafwadhali
 
Last edited by a moderator:

Jomba, why me....??
 

wewe ndiwe Mwanyasi?

ok, sawa...!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…