GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Anaitwa Julius! Ni Gen Z kutoka nchini Kenya.
Amewaasa vijana wa Afrika kuwa njia pekee ya kuleta MAGEUZI ni kupinga maovu yanayofanywa na Serikali zao. Katoa wito huo alipokuwa mahakamani kwa tuhuma za kusababisha uvunjifu wa amani.
Baada ya kusomewa shaka lake na kutakiwa kujibu kama ni kweli au si kweli, alikiri na kuongezea maelezo yafuatayo:
1. Yupo tayari kufa kwa ajili ya kuupigania uhuru
2. Ukoloni haujaisha nchini kwake Kenya
3. Wanatawaliwa na vichaa, waongo, na wezi
4. Alihoji kama jukumu la Serikali ni kulinda au kuua raia
5. Hawawezi kuendelea kuishi katika hofu
6. Kwa kipindi cha miaka 60 wameishi kama nusu binadamu
7. Wanatawaliwa na wachache
wasiojali maslahi ya wengi
Kwa ufupi, ni kama vile ameendeleza mgomo mpaka mahakamani!
Gen Z wenzake wa mataifa mengine ya Afrika watamwelewa?
Amewaasa vijana wa Afrika kuwa njia pekee ya kuleta MAGEUZI ni kupinga maovu yanayofanywa na Serikali zao. Katoa wito huo alipokuwa mahakamani kwa tuhuma za kusababisha uvunjifu wa amani.
Baada ya kusomewa shaka lake na kutakiwa kujibu kama ni kweli au si kweli, alikiri na kuongezea maelezo yafuatayo:
1. Yupo tayari kufa kwa ajili ya kuupigania uhuru
2. Ukoloni haujaisha nchini kwake Kenya
3. Wanatawaliwa na vichaa, waongo, na wezi
4. Alihoji kama jukumu la Serikali ni kulinda au kuua raia
5. Hawawezi kuendelea kuishi katika hofu
6. Kwa kipindi cha miaka 60 wameishi kama nusu binadamu
7. Wanatawaliwa na wachache
wasiojali maslahi ya wengi
Kwa ufupi, ni kama vile ameendeleza mgomo mpaka mahakamani!
Gen Z wenzake wa mataifa mengine ya Afrika watamwelewa?