Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,049
Wito wa maandamano kwa Watanzania wote tarehe 21/11/2013 nchi nzima kushinikiza yafuatayo:-
1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe.
2.Wote waliohusika kuficha suala hili akiwemo spika, police waachie ngazi haraka sana.
3. Kumlaani Kapuya na kumwombea mabaya yampate ndani ya siku saba kama hatafuata mkondo wa hseria.
Taarifa zaidi zitatolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 19.
1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe.
2.Wote waliohusika kuficha suala hili akiwemo spika, police waachie ngazi haraka sana.
3. Kumlaani Kapuya na kumwombea mabaya yampate ndani ya siku saba kama hatafuata mkondo wa hseria.
Taarifa zaidi zitatolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 19.