Wito wa Maandamano: Unyama wa Kapuya na Sheria

Wito wa Maandamano: Unyama wa Kapuya na Sheria

Kwanini tuandamane kwa habari za kusadikika tu mkuu.. Hakuna uthibitisho wa hili tukio, hakuna case police zaidi ya kuandikwa magazetini tu.

Unajua twiga walipanda ndege na hatukuandamana. Unajua tembo zaidi ya elfu1 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na hatuandamani. Hili litapita tu tupé siku3 mbele sisi ndo mitanzania tunasahau haraka zaidi ya kuku.

Natabiri - wewe kama si mtoto wa Kapuya basi utakuwa unafanya kazi lumumba .
 
Kwanini tuandamane kwa habari za kusadikika tu mkuu.. Hakuna uthibitisho wa hili tukio, hakuna case police zaidi ya kuandikwa magazetini tu.

Unajua twiga walipanda ndege na hatukuandamana. Unajua tembo zaidi ya elfu1 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na hatuandamani. Hili litapita tu tupé siku3 mbele sisi ndo mitanzania tunasahau haraka zaidi ya kuku.

Thamani ya tembo wote, jumlisha na thamani ya twiga wote hailingani na thamani ya Mtanzania yeyote
 
Wito wa maandamano kwa Watanzania wote tarehe 21/11/2013 nchi nzima kushinikiza yafuatayo:-

1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe.
2.Wote waliohusika kuficha suala hili akiwemo spika, police waachie ngazi haraka sana.
3. Kumlaani Kapuya na kumwombea mabaya yampate ndani ya siku saba kama hatafuata mkondo wa hseria.

Taarifa zaidi zitatolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 19.

Mtu aliye timamu, hawezi ku-risk maisha yake kwa kuandamana kwa tetesi kutoka TANZANIA DAIMA.
 
Tuko tayari mpaka hili zinzi liwajibishwe....!
 
Huo ni mchezo wao wa siku nyingi, inabidi tumbane atuambie huyo ni wa ngapi. Naamini sio wa kwanza.
 
mbona mh. mkapa alipowauwa wapemba zaidi ya 20 hamkuandamana ?
mbona hamuandamani against u liberal wa mbunge Lema?
hamkufunga hata siku moja ili kulaani hayo?
 
Kosa la kibaka ni kuchomwa moto, na la mbakaji ni kupigwa mawe mpaka afe. Ni kupoteza muda kupanga maandamano. Hukumu ipo, nashauri wananchi tutekeleze bila kupoyeza muda. Kewanza anaudhalilisha uislamu kuitwa alhaj. Takbiiir.
 
Kosa la kibaka ni kuchomwa moto, na la mbakaji ni kupigwa mawe mpaka afe. Ni kupoteza muda kupanga maandamano. Hukumu ipo, nashauri wananchi tutekeleze bila kupoyeza muda. Kwanza anaudhalilisha uislamu kuitwa alhaj. Takbiiir.
 
mbona mh. mkapa alipowauwa wapemba zaidi ya 20 hamkuandamana ?
mbona hamuandamani against u liberal wa mbunge Lema?
hamkufunga hata siku moja ili kulaani hayo?

Kwaiyo ndio sababu ya kumyetea kapuya. Embushirikisha ubongo kidogo
 
attachment.php


Mtu mzima hovyooooooooooo!
 
Apa kapuya anaombea tukio lolote mfano hata la pecision air litokee ili asahaulike.
 
Sishauri. Naona dini na itikadi za siasa zisihusishwe hapo. Lakini pia naamini tuna mambo ya kujiuliza tangu alipoanza kubakwa alinyamaza ili iweje? Wanapopingana kauli ndo anasema? Stupid.
 
Ufuska kwa huyu ALHAJ PROFESSOR ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama ALHAJ anaudhalilisha uislamu; pia kama PROFESSOR aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. SHAME ON HIM!!!

View attachment 121531
Mtumeee! Kha! Hata waislamu inabidi tumkane jamaa huyu! Kwa picha hii nasadiki kuwa hakusingiziwa!
 
Usishtuke, hakuna tatizo katika dini kwani amefuata nyayo za mtume

Tafadhali sana usimfananishe Mtume na Kapuya hata siku moja! Naomba ufute hiyo kauli please. Siyo kila anayekwenda kuhiji anaishi kwa utaratibu wa Dini inavyotaka. Kwa hili la Kapuya huo ni ushetani wake mwenyewe na cheo cha alhaji kisichafuliwe na mtu mmoja aliyepotoka na wewe ukaona ni ndivyo ilivyo.
 
Back
Top Bottom