Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,049
naona kuna harufu ya kumtetea kapuya hapo...Kwanini tuandamane kwa habari za kusadikika tu mkuu.. Hakuna uthibitisho wa hili tukio, hakuna case police zaidi ya kuandikwa magazetini tu.
Unajua twiga walipanda ndege na hatukuandamana. Unajua tembo zaidi ya elfu1 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na hatuandamani. Hili litapita tu tupé siku3 mbele sisi ndo mitanzania tunasahau haraka zaidi ya kuku.
Ufuska kwa huyu ALHAJ PROFESSOR ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama ALHAJ anaudhalilisha uislamu; pia kama PROFESSOR aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. SHAME ON HIM!!!
View attachment 121531
Ufuska kwa huyu ALHAJ PROFESSOR ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama ALHAJ anaudhalilisha uislamu; pia kama PROFESSOR aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. SHAME ON HIM!!!
View attachment 121531
Ufuska kwa huyu ALHAJ PROFESSOR ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama ALHAJ anaudhalilisha uislamu; pia kama PROFESSOR aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. SHAME ON HIM!!!
View attachment 121531
Usishtuke, hakuna tatizo katika dini kwani amefuata nyayo za mtumeKhaaaa, kumbe hata kapuya nae ni Alhaji!?
Wito wa maandamano kwa Watanzania wote tarehe 21/11/2013 nchi nzima kushinikiza yafuatayo:-
1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe.
2.Wote waliohusika kuficha suala hili akiwemo spika, police waachie ngazi haraka sana.
3. Kumlaani Kapuya na kumwombea mabaya yampate ndani ya siku saba kama hatafuata mkondo wa hseria.
Taarifa zaidi zitatolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 19.
Then din inachafuliwa na nini? kama sio waumini then what else?Nani kakuambia matendo ya muumini yanachafua dini yake?
Wito wa maandamano kwa Watanzania wote tarehe 21/11/2013 nchi nzima kushinikiza yafuatayo:-
1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe.
2.Wote waliohusika kuficha suala hili akiwemo spika, police waachie ngazi haraka sana.
3. Kumlaani Kapuya na kumwombea mabaya yampate ndani ya siku saba kama hatafuata mkondo wa hseria.
Taarifa zaidi zitatolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 19.
Alhaji Kapuya tena badala ya kwenda maka kwa pesa zake anasubiri tiketi za bure alikuwa anapewa na taasisi ya africa muslim agency chini ya sheikh Mbwana Urali. Kapuya na yule Alhaj kassim mtawa wa pale ikulu wako tabia moja.
ufuska kwa huyu alhaj professor ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama alhaj anaudhalilisha uislamu; pia kama professor aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. shame on him!!!
View attachment 121531