Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwanini tuandamane kwa habari za kusadikika tu mkuu.. Hakuna uthibitisho wa hili tukio, hakuna case police zaidi ya kuandikwa magazetini tu.
Unajua twiga walipanda ndege na hatukuandamana. Unajua tembo zaidi ya elfu1 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na hatuandamani. Hili litapita tu tupé siku3 mbele sisi ndo mitanzania tunasahau haraka zaidi ya kuku.
Kwanini tuandamane kwa habari za kusadikika tu mkuu.. Hakuna uthibitisho wa hili tukio, hakuna case police zaidi ya kuandikwa magazetini tu.
Unajua twiga walipanda ndege na hatukuandamana. Unajua tembo zaidi ya elfu1 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na hatuandamani. Hili litapita tu tupé siku3 mbele sisi ndo mitanzania tunasahau haraka zaidi ya kuku.
Wito wa maandamano kwa Watanzania wote tarehe 21/11/2013 nchi nzima kushinikiza yafuatayo:-
1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe.
2.Wote waliohusika kuficha suala hili akiwemo spika, police waachie ngazi haraka sana.
3. Kumlaani Kapuya na kumwombea mabaya yampate ndani ya siku saba kama hatafuata mkondo wa hseria.
Taarifa zaidi zitatolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 19.
Kapuya hivi bado hajaachia madaraka
Usishtuke, hakuna tatizo katika dini kwani amefuata nyayo za mtume
Nani kakuambia matendo ya muumini yanachafua dini yake?
Nani kakuambia matendo ya muumini yanachafua dini yake?
mbona mh. mkapa alipowauwa wapemba zaidi ya 20 hamkuandamana ?
mbona hamuandamani against u liberal wa mbunge Lema?
hamkufunga hata siku moja ili kulaani hayo?
Mtumeee! Kha! Hata waislamu inabidi tumkane jamaa huyu! Kwa picha hii nasadiki kuwa hakusingiziwa!Ufuska kwa huyu ALHAJ PROFESSOR ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama ALHAJ anaudhalilisha uislamu; pia kama PROFESSOR aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. SHAME ON HIM!!!
View attachment 121531
Usishtuke, hakuna tatizo katika dini kwani amefuata nyayo za mtume