Wito wa Maandamano: Unyama wa Kapuya na Sheria

Kosa la kibaka ni kuchomwa moto, na la mbakaji ni kupigwa mawe mpaka afe. Kwanza anaudhalilisha uislamu kuitwa alhaj. Takbiiir.

Allah akbar.dah! Sijui nimepatia!.matatizo ya kuishia ARIFU(A) kipindi nasoma madrasa ndiyo haya!
 
 
mbona mh. mkapa alipowauwa wapemba zaidi ya 20 hamkuandamana ?
mbona hamuandamani against u liberal wa mbunge Lema?
hamkufunga hata siku moja ili kulaani hayo?
kwa hiyo tuache wabakaji waendelee na ubakaji wao?
 
well mkuu.
 
Jamani pangeni haraka hayo maandamano, nina hasira nayo kweli, haiwezekani zee zima libake katoto halafu likapige mkwara hako katoto kuwa litakaua. Huu ni zaidi ya unyama!
 
Sishauri. Naona dini na itikadi za siasa zisihusishwe hapo. Lakini pia naamini tuna mambo ya kujiuliza tangu alipoanza kubakwa alinyamaza ili iweje? Wanapopingana kauli ndo anasema? Stupid.

Nadhani umri wa binti ulikuwa mdogo sana (14 years old) kujitambua na pia umasikini na uyatima wa binti ulichangia kuhadaika.
 
Mlete Thread, Kapuya Alitumia Madaraka Alo Nayo Kumbaka Mtoto. Kosa Hili Kisheria Ni Tofauti Na Ubakaji Mwingine Adhabu Yake Ni Kifungo Cha Maisha Jela. Pia Ametishia Kuua Adhabu Yake Maisha Jela, Ametishia Kujiua Adhabu Yake Maisha Jela, Sasa Kuandamana Afungwe Miaka Herathini Ni Kumtetea, Hamaa Afungwe Maisha Kwa Mujibu Wa Kifungu Cha 130 Cha Makosa Ya Jinai Cap16
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…