chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
Wito wa Waziri wa Fedha, juu ya Wazazi kuwasaidia watoto wao kujiajiri uko sawa! Anaebisha aseme!
Yupo Sahihi kabisaa maana ukiangalia hawa wazazi ni mfano wa kuigwa kwake....
1. Samia amemsaidia mtoto wake kujiajiri kwani binti yake mmoja ni Mbunge na mkwe wake ni Mbunge na ni Waziri (Mchengerwa) na mwingine juzi ameukwaa uongozi wa ndani ya ccm.
2. Mzee Mwinyi Kamsaidia mtoto wake kujiajiri maana mmoja wa watoto wake ni Rais wa Zanzibar.
3. Mzee Kikwete Kamsaidia mtoto wake kujiajiri kwani ni Mbunge na ni Naibu waziri ardhi na mke wake ni Mbunge...
4. Mzee Makamba Kamsaidia mtoto wake kujiajiri maana ni Mbunge na ni Waziri wa wizara ya giza...
5. Mizengo Pinda kijana wake amemsaidia kujiajiri ni Mbunge na ni naibu waziri wa katiba na SHERIA.
6. Edward Lowasa amemsaidia kijana wake pia kujiajiri ni Mbunge wa Jimbo huru la Monduli
Unataka mifano gani mingine na mingapi ndo uelewe hoja ya huyu jamaa??
Sasa wewe mzazi kwa kimpungua, mgori, mampata nk kaa hapo usubiri hawa jamaa wakutengenezee ajira za watoto wako kama hujasaga meno...
Yupo Sahihi kabisaa maana ukiangalia hawa wazazi ni mfano wa kuigwa kwake....
1. Samia amemsaidia mtoto wake kujiajiri kwani binti yake mmoja ni Mbunge na mkwe wake ni Mbunge na ni Waziri (Mchengerwa) na mwingine juzi ameukwaa uongozi wa ndani ya ccm.
2. Mzee Mwinyi Kamsaidia mtoto wake kujiajiri maana mmoja wa watoto wake ni Rais wa Zanzibar.
3. Mzee Kikwete Kamsaidia mtoto wake kujiajiri kwani ni Mbunge na ni Naibu waziri ardhi na mke wake ni Mbunge...
4. Mzee Makamba Kamsaidia mtoto wake kujiajiri maana ni Mbunge na ni Waziri wa wizara ya giza...
5. Mizengo Pinda kijana wake amemsaidia kujiajiri ni Mbunge na ni naibu waziri wa katiba na SHERIA.
6. Edward Lowasa amemsaidia kijana wake pia kujiajiri ni Mbunge wa Jimbo huru la Monduli
Unataka mifano gani mingine na mingapi ndo uelewe hoja ya huyu jamaa??
Sasa wewe mzazi kwa kimpungua, mgori, mampata nk kaa hapo usubiri hawa jamaa wakutengenezee ajira za watoto wako kama hujasaga meno...