Wito: "wanaoua Albino na wenyewe muwaue!" - Pinda

Wito: "wanaoua Albino na wenyewe muwaue!" - Pinda

mmh.. fanya utafiti kidogo basi... uangalie rekodi yangu.... Lowassa for one.

Hhaha ninachojua ni kwamba Lowasa alishawahi kusema si kwamba kila analolisema mwanakijiji nyie mkalichukulia kweli, lakini kwa hoja ya kujiuzuru nafikiri ilimbidi afanye vile kutokana na maamuzi ya kamati ya Bunge iliyokuwa inachunguza mkataba wa Richmond lakini si kwa shinikizo la Mwanakijiji.
 
Hhaha ninachojua ni kwamba Lowasa alishawahi kusema si kwamba kila analolisema mwanakijiji nyie mkalichukulia kweli, lakini kwa hoja ya kujiuzuru nafikiri ilimbidi afanye vile kutokana na maamuzi ya kamati ya Bunge iliyokuwa inachunguza mkataba wa Richmond lakini si kwa shinikizo la Mwanakijiji.

well ulitegemea angesema kuwa amefanya hivyo kwa sababu ya some nutcase like "mwanakijiji"? Angesema hivyo nayo ingekuwa sababu ya kujiuzulu kujiuzulu kwake.
 
watered down? kwanini ni vigumu kuikana na kuifuta.. waterdown like "don't kill them publicly? or "kill them humanly and with dignity?

Hawezi kufanya hivyo. You just can't take back what came out of the mouth...how can you? And if you pretend to, what/ which are we to believe....what you said earlier or the recantation? Ndio maana ni muhimu kufikiri kabla hujaongea (hususan kama maneno yako watu wanayachukulia kwa uzito fulani) na muhimu kuchagua maneno yako kwa uangalifu!
 
Hhaha ninachojua ni kwamba Lowasa alishawahi kusema si kwamba kila analolisema mwanakijiji nyie mkalichukulia kweli, lakini kwa hoja ya kujiuzuru nafikiri ilimbidi afanye vile kutokana na maamuzi ya kamati ya Bunge iliyokuwa inachunguza mkataba wa Richmond lakini si kwa shinikizo la Mwanakijiji.

MWANAMKE MJAMZITO LAZIMA ALIFANYA TENDO LA NDOA -labda mwaka 1947.NA ANYEONA BILLIONI MOJA NI VISENTI LAZIMA NI FISADI-hii ni Tanzania tu!!
 
mmh.. fanya utafiti kidogo basi... uangalie rekodi yangu.... Lowassa for one.

Unaona sifa ukiwakomalia watu wakajiuzulu. Pinda aliteleza akiomba radhi; asamehewe.

Mkomalie Chenge, Rostam na wengine warudishe vijisent vyetu.
 
Last edited by a moderator:
Unaona sifa ukiwakomalia watu wakajiuzulu. Pinda aliteleza akiomba radhi; asamehewe.

Mkomalie Chenge, Rostam na wengine warudishe vijisent vyetu.

Pinda karudia alichokisema mara tatu! Hadharani, halafu kwenye gazeti, halafu akatuma mouthpiece wake. Ameteleza vipi sasa? Waziri Mkuu utatelezaje na kutojua kwamba hutakiwi kuchochea watu wauane uane?

Halafu anaenda kulialia bungeni, amekuwa mtu wa kwanza Tanzania kutuletea vitabia vya emotional instability za mapolitician wa kizungu. Wakifumwa dhambini wanaenda kwenye podium kulia kulia kama chekechea.

Pinda has no judgmental or emotional competency to handle the job of Prime Minister.
 
Unaona sifa ukiwakomalia watu wakajiuzulu. Pinda aliteleza akiomba radhi; asamehewe.

Mkomalie Chenge, Rostam na wengine warudishe vijisent vyetu.

kwanini wewe usiwakomalie hao.. au ni miongoni mwa wale wanaosubiri wengine wafanye kitu wao wawe wa kwanza kuona kuwa hawajafanya kitu hicho vizuri?
 
Pinda karudia alichokisema mara tatu! Hadharani, halafu kwenye gazeti, halafu akatuma mouthpiece wake. Ameteleza vipi sasa? Waziri Mkuu utatelezaje na kutojua kwamba hutakiwi kuchochea watu wauane uane?

Halafu anaenda kulialia bungeni, amekuwa mtu wa kwanza Tanzania kutuletea vitabia vya emotional instability za mapolitician wa kizungu. Wakifumwa dhambini wanaenda kwenye podium kulia kulia kama chekechea.

Pinda has no judgmental or emotional competency to handle the job of Prime Minister.

Mkuu hapa umemaliza kila kitu.....
 
Pinda karudia alichokisema mara tatu! Hadharani, halafu kwenye gazeti, halafu akatuma mouthpiece wake. Ameteleza vipi sasa? Waziri Mkuu utatelezaje na kutojua kwamba hutakiwi kuchochea watu wauane uane?

Halafu anaenda kulialia bungeni, amekuwa mtu wa kwanza Tanzania kutuletea vitabia vya emotional instability za mapolitician wa kizungu. Wakifumwa dhambini wanaenda kwenye podium kulia kulia kama chekechea.

Pinda has no judgmental or emotional competency to handle the job of Prime Minister.

Who has? The man is human, emotions are part of the package. If he were to go who has the judgemental and emotional competency to replace his lacking?
 
Who has? The man is human, emotions are part of the package. If he were to go who has the judgemental and emotional competency to replace his lacking?

Maybe Almighty Kuhani has......iiihihihihihihihiiiiiii
 
Halafu anaenda kulialia bungeni, amekuwa mtu wa kwanza Tanzania kutuletea vitabia vya emotional instability za mapolitician wa kizungu. Wakifumwa dhambini wanaenda kwenye podium kulia kulia kama chekechea.

Pinda has no judgmental or emotional competency to handle the job of Prime Minister.

Walilia kina Clinton ije kuwa Pinda, he is a responsible guy, anajutia kosa lake hivyo hivyo kumtaka kujiuzulu sio suluhisho.


kwanini wewe usiwakomalie hao.. au ni miongoni mwa wale wanaosubiri wengine wafanye kitu wao wawe wa kwanza kuona kuwa hawajafanya kitu hicho vizuri?



Unataka nifuate nyayo zako za kukomalia watu kujiuzulu? Anza na mwenyekiti wa UWT,Sofia.

Hao mafisadi wanakomalia kinamna, hakuna haja ya kujisifia sifia humu na kushika mabango hata pasipo.

Pinda go baba, next time better be careful okay, mwenyewe unajua umechemsha na hiyo ni adhabu tosha.
 
Pinda karudia alichokisema mara tatu! Hadharani, halafu kwenye gazeti, halafu akatuma mouthpiece wake. Ameteleza vipi sasa? Waziri Mkuu utatelezaje na kutojua kwamba hutakiwi kuchochea watu wauane uane?

Halafu anaenda kulialia bungeni, amekuwa mtu wa kwanza Tanzania kutuletea vitabia vya emotional instability za mapolitician wa kizungu. Wakifumwa dhambini wanaenda kwenye podium kulia kulia kama chekechea.

Pinda has no judgmental or emotional competency to handle the job of Prime Minister.

Kuhani, you are (in a nice way) ruthless bro!! Kama sniper vile... yaani hata kama umeona sura ya target wako imebadilika nakuwa ya kuhurumia-hurumia kupitia tundu la darubini, bado unabonyeza trigger tu! Execution is a must- as per script. 'Like ya stance though.
 
Pinda karudia alichokisema mara tatu! Hadharani, halafu kwenye gazeti, halafu akatuma mouthpiece wake. Ameteleza vipi sasa? Waziri Mkuu utatelezaje na kutojua kwamba hutakiwi kuchochea watu wauane uane?

Halafu anaenda kulialia bungeni, amekuwa mtu wa kwanza Tanzania kutuletea vitabia vya emotional instability za mapolitician wa kizungu. Wakifumwa dhambini wanaenda kwenye podium kulia kulia kama chekechea.

Pinda has no judgmental or emotional competency to handle the job of Prime Minister.

Kuhani, mkuu, umenena!
Unajua kinachoboa hapa ni kwamba anataka ku-cover up his mistake by digressing kama mtoto. Mtoto akiiba ukimhoji sana anaanza kulia ukimwuliza anlia nini anakwambia anumwa tumbo. Kumbe he is trying to draw attention away from his error.
Sasa kama baba mtu mzima anashindwa ku-own up like an adult basi tuna kazi! And on top of that he thinks that he has been sooooo smart! Come on, let us not give him such an easy pass! Tunakuwa watoto na sisi kwa kubali half baked apologies and childish cover ups!
Hii inanikumbusha Clinton and his finger wagging denial about Lewinsky! kwikwikwiii!
 
Kuhani, mkuu, umenena!
Unajua kinachoboa hapa ni kwamba anataka ku-cover up his mistake by digressing kama mtoto. Mtoto akiiba ukimhoji sana anaanza kulia ukimwuliza anlia nini anakwambia anumwa tumbo. Kumbe he is trying to draw attention away from his error.
Sasa kama baba mtu mzima anashindwa ku-own up like an adult basi tuna kazi! And on top of that he thinks that he has been sooooo smart! Come on, let us not give him such an easy pass! Tunakuwa watoto na sisi kwa kubali half baked apologies and childish cover ups!
Hii inanikumbusha Clinton and his finger wagging denial about Lewinsky! kwikwikwiii!

Umeisikia Limbaugh-Obama stimulus package wewe...? Limbaugh ni kichwa bana....
 
Kuhani, you are (in a nice way) ruthless bro!! Kama sniper vile... yaani hata kama umeona sura ya target wako imebadilika nakuwa ya kuhurumia-hurumia kupitia tundu la darubini, bado unabonyeza trigger tu! Execution is a must- as per script. 'Like ya stance though.

Oh yeah....kama alivyomzushia dokta Masau...?
 
Umeisikia Limbaugh-Obama stimulus package wewe...? Limbaugh ni kichwa bana....

Nyani , my friend, ishu za US politics tutazipeleka kwenye uwanja wake, lakini Limbaugh nilikwambia achana naye...
Itabidi uanzishe na wewe radio show yako sijui ungekuwa na ushauri gani kwa Pinda! Maana Limbaugh angesema sana! kwikwikwiii!
 
Mwanakijiji;

Inaonyesha mzee unapata raha sana viongozi kujiuzulu... hili la Mh. Pinda... andika maandiko unayoandika mara 1000 lakini sidhani utaweza fanikiwa kama ulivyofanikiwa kwa Mh. Edward Lowassa.

Tunaiishi kwenye dunia ya viumbe dhaifu.. makosa kama hayo yatakuwepo na mengi tu... hata mahakamani wanaangalia ulitoa tamko gani? ukiwa kwenye hali gani? Na mazingira gani?

Ndio maana kuna mada case, na man slaughter ingawa zote ni kuua.
 
Nyani , my friend, ishu za US politics tutazipeleka kwenye uwanja wake, lakini Limbaugh nilikwambia achana naye...
Itabidi uanzishe na wewe radio show yako sijui ungekuwa na ushauri gani kwa Pinda! Maana Limbaugh angesema sana! kwikwikwiii!

Limbaugh wa kibongo ni Mwanakijiji....
 
Back
Top Bottom