Haupendi kuitwa "mpenzi mtazamaji". Teh teh teh.Le manageeeer!! Seven mosha!!!
Hivi Seven si anaweza mzaa Ali Kiba? Maana wa kitambo Sana 47+
Tuoneshe Chura lake ikiwa analo,
Unauhakika au kuumizana nafs huyo ndio ananifanya nikose amani kila nikiwaza umbali uliopo kati yake na mimiAli Kiba kamtafuna hadi Jide JayDee. Jamaa Ana vipaji vingi Tu mbona.
Unavivu sana wewe unaweza MPA hata miaka yakoHivi Seven si anaweza mzaa Ali Kiba? Maana wa kitambo Sana 47+
Ndio dawa yao wajinga kama hao
Naamini umepata jibu maana tumezoea unafiki mpaka noma.
Huyu atakua age mate wa jide mana walikua wote clouds enzi hizo jide mtangazaji..Hivi Seven si anaweza mzaa Ali Kiba? Maana wa kitambo Sana 47+
Ni kwanini wanawake wanamtumia sana huyu King Kibaa na kwanini Kiba aruhusu kutumika.......hivi kuna mtu anaweza nijibu......Ndio dawa yao wajinga kama hao
Ninachojua seven alikuwa star akiwa bado mdogo sana kipindi hicho kiba anacheza mpira akiwa anataka kusajiriwa na yanga