Wivu kwa Ali Kiba kumla meneja wake

Wivu kwa Ali Kiba kumla meneja wake

Kama anakatafuna vizuri,maana "k" yake "muhogo" na usipompatia mtoto wa kike haki yake utakuwa unatenda kosa ambalo hata kwa Mungu usameewi.
 
Ndio dawa yao wajinga kama hao

Ninachojua seven alikuwa star akiwa bado mdogo sana kipindi hicho kiba anacheza mpira akiwa anataka kusajiriwa na yanga
Mkuu Mbona Povu? Hiyo Picha ndio inaeleza nini sasa? Seven yupo age za kina Jide,Kiba Age za kina Blue,Diamond huo ndio Ukweli relax kijana huu mchezo hauhitaji hasira.
 
Mwanasaka saka.pesa tuu utampata,hata mimi kiba kamega dem wangu wa.ndoton kidot
Mkuuuu tuandamane wanatumegea dem.wetu kidot mwengelo
Mke wetu huyu cjui ndoto ztatimia lin
 
Kula kwa macho
a02cd012f65efc9aae715a412a6bc669.jpg
Mbona mbovu?sura kama fenesi
 
Poda tu hiyo.akiitoa unaweza kupishana nae usimjue,anaonekana ana tatizo la ngozi kuwa rough usoni
Mi hivyo hivyo namla[emoji39] cheki ngozi hiyo sio mkorogo chokoleti seven mtamu wewe
 
kumbe huyu ndio meneja wake!!! anyway ngoja nipite tuu[emoji197][emoji197]
 
Back
Top Bottom