tupa simu...!!Jamani,sina amani na simu yangu,mwanaume asinipigie,naulizwa kwanini ananipigia?anataka nini?napigwa,natukanwa kisa kupigiwa na mwanaume.jaman nifanyeje?mana katika wanawake wakwel,nimekuwa mkwel sana sijawah kucheat lakin nitaambiwa natafuta wanaume.namwelewesha lakin haelewi.jaman kama ni wivu,wivu gan huu?nimwache?naumia mana nawaza kupitiliza,na tatizo la huyu mwanaume.nisaidieni mawazo wanajf
Kwa kuongezea maswali:kabla sijakushauri naomba unisaidie yafuatayo
1)mida unayopigiwaga hizo simu
2)huwa unazipokelea mbele yake/unajificha??
Mzee ukiruhusiwa kumiliki bunduki mbona itakuwa kasheshe. Hapo kwenye red umeniacha hoi.Akipigiwa simu na mwanamke mpe kisago kimoja cha nguvu (frying pan juu ya kichwa ni silaha nzuri) angalau aonje uchungu wa maumivu unayoyapata.