Media huchambua kwa kuangalia uzoefu na muonekano wa timu.Hivyo pia zinajua mpira hubadilika kiwwnjani . kwa hiyo kuiponda yanga iliyokuwa inafanya vibaya na baadae kuishangilia hakuwazuii KUTIMIZA kazi zao.acheni ushamba wa ushindi malimbukeni wa ushindi ninyi.inasemwa man u sembuse kandambili.Maneno kwa mpira ni kawaida.MNAONESHA KABISA HAMKUTARAJIA KUSHINDA.Ni wivu tuu..
Kila hatua ni kujipongeza...nani amesema [emoji881] hawakushangilia kuzifunga Bullet na agosto?
Waache wenye furaha waendelee na furaha na hiyo ndio football...it is all about fun.
ukishinda ni furaha ukitoa sare na ukifungwa ni huzuni...
KMC anafurahi kutoa draw na Simba.. Simba anafurahi kutoa draw na Yanga...KMC anasikitika kufungwa na Yanga.
Africain board ya uongozi imejiuzuru kwa kufungwa na Yanga nyumbani na kutolewa kwenye mashindano.
.
Tujiulize Club kubwa kama ile kwa nini ihangaike na kuhuzunika na kutolewa na Yanga?..ndio mpira ulivyo....
Kujipanga na mechi zinazofuata sio swala la kuikumbusha Yanga ni mpango kazi uliopo ndani ya Yanga...
Media asilimia 90 ziliiponda sana Yanga kuwa Tunisia [emoji1249] haitatoboa..sasa wanajipendekeza na nini?
Undumilakuwili...Media zitumike kuhamasisha ili timu zetu zifanye vizuri katika mashindano ya Afrika...na sio kuzibeza...
Wachambuzi wa soka watumie weledi wao kuishauri na kuzipa hamasa kubwa Simba na Yanga kwa ajili ya mashindano hayo na sio kubeza.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa ushindi gan sasa? Wala Mihogo kazi mnayooooo, mbna mnaweweseka sana, mshaingia makundi. Hebu mtulie kwanzaaaaa. LolUshindi wa Yanga ugenini, ni aibu kwa wengi. Siyo hao wachambuzi uchwara pekee! Hata mbumbumbu walio wengi mpaka leo hawaamini kilichotokea siku ile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa ushindi gan sasa? Wala Mihogo kazi mnayooooo, mbna mnaweweseka sana, mshaingia makundi. Hebu mtulie kwanzaaaaa. Lol
Simba inaizidi nini Club African?Unafikiri uongozi wa africai ungefungwa na tumu kama pyramids, zamaleki, mamelod au simba ungejiuzuru? No way hizo ni club kubwa africa kuliko africain.
Ila sasa kama inafungwa na club ndogo kama yanga why uongozi ubaki? Africain sio club kuubwa kiviile na yenyewe imeanza kujitafuta lkn imegadhibika kwann ifungwe nyumban9 na club isiyo na jina lolote kimataifa kwasasa kama club ya yanga.
Wewe ni shabiki wa Uto endelea kuwadanganya wala mihogo kwasababu shibe zinawasumbuaNilijaliwa kutokuwa shabiki wa Yanga wala Simba.
Lakini naupenda na kushabikia mpira wa miguu Kwa utuo. Tanzania wachambuzi halisi wa soka Kwa Sasa labda amebaki mmoja wengine ni MASHABIKI tu hawana tofauti na kina Frank Yanga na Mood Mnyama. Sihangaiki kabisa na hao wachumia tumbo wasiojua soka ina maajabu na lolote linawezekana.
Wachambuzi wanaotumia historia kuchambua bila kujua kuna timu nyingi Sana duniani zimewahi kuvunja historia na kufanya yasiyotatajiwa? Hakuna aliyekumbuka maajabu ya Simba 0-4 Mfulila, kisha Mfulila 0-5 Simba. Hakuna aliyezingatia maajabu ya Porto ya Mourinho, wala Man Utd na ubingwa wa UEFA wa dk 3 za mwisho dhidi ya Bayern.
Huwezi kuniambia nikakuelewa kuhusu mashabiki wanaoitwa kwenye studio mbalimbali za vyombo vya habari na kubatizwa jina la Wachambuzi huku hawana wanachochambua.
Wewe huli mihogo? unakula burger eh?Wewe ni shabiki wa Uto endelea kuwadanganya wala mihogo kwasababu shibe zinawasumbua
Nchi yetu bado ujinga ni tatizo na baadhi ya wanahabari na wale wanaojiita wachambuzi bado wapo zama za mawe za kaleNi wivu tuu..
Kila hatua ni kujipongeza...nani amesema [emoji881] hawakushangilia kuzifunga Bullet na agosto?
Waache wenye furaha waendelee na furaha na hiyo ndio football...it is all about fun.
ukishinda ni furaha ukitoa sare na ukifungwa ni huzuni...
KMC anafurahi kutoa draw na Simba.. Simba anafurahi kutoa draw na Yanga...KMC anasikitika kufungwa na Yanga.
Africain board ya uongozi imejiuzuru kwa kufungwa na Yanga nyumbani na kutolewa kwenye mashindano.
.
Tujiulize Club kubwa kama ile kwa nini ihangaike na kuhuzunika na kutolewa na Yanga?..ndio mpira ulivyo....
Kujipanga na mechi zinazofuata sio swala la kuikumbusha Yanga ni mpango kazi uliopo ndani ya Yanga...
Media asilimia 90 ziliiponda sana Yanga kuwa Tunisia [emoji1249] haitatoboa..sasa wanajipendekeza na nini?
Undumilakuwili...Media zitumike kuhamasisha ili timu zetu zifanye vizuri katika mashindano ya Afrika...na sio kuzibeza...
Wachambuzi wa soka watumie weledi wao kuishauri na kuzipa hamasa kubwa Simba na Yanga kwa ajili ya mashindano hayo na sio kubeza.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hilo ndio jina lenu linalo trend saIziWewe huli mihogo? unakula burger eh?
Ni wivu tuu..
Kila hatua ni kujipongeza...nani amesema [emoji881] hawakushangilia kuzifunga Bullet na agosto?
Waache wenye furaha waendelee na furaha na hiyo ndio football...it is all about fun.
ukishinda ni furaha ukitoa sare na ukifungwa ni huzuni...
KMC anafurahi kutoa draw na Simba.. Simba anafurahi kutoa draw na Yanga...KMC anasikitika kufungwa na Yanga.
Africain board ya uongozi imejiuzuru kwa kufungwa na Yanga nyumbani na kutolewa kwenye mashindano.
.
Tujiulize Club kubwa kama ile kwa nini ihangaike na kuhuzunika na kutolewa na Yanga?..ndio mpira ulivyo....
Kujipanga na mechi zinazofuata sio swala la kuikumbusha Yanga ni mpango kazi uliopo ndani ya Yanga...
Media asilimia 90 ziliiponda sana Yanga kuwa Tunisia [emoji1249] haitatoboa..sasa wanajipendekeza na nini?
Undumilakuwili...Media zitumike kuhamasisha ili timu zetu zifanye vizuri katika mashindano ya Afrika...na sio kuzibeza...
Wachambuzi wa soka watumie weledi wao kuishauri na kuzipa hamasa kubwa Simba na Yanga kwa ajili ya mashindano hayo na sio kubeza.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nawe umeingia kwenye mtego wa Manara kwamba wachambuzi wanachuki na Uto?
Kwanini uongozi wa simba haukuachia madaraka baada ya kutolewa na jwaneng tena kwa mkapa? Tena timu isiyojulikana popoteUnafikiri uongozi wa africai ungefungwa na tumu kama pyramids, zamaleki, mamelod au simba ungejiuzuru? No way hizo ni club kubwa africa kuliko africain.
Ila sasa kama inafungwa na club ndogo kama yanga why uongozi ubaki? Africain sio club kuubwa kiviile na yenyewe imeanza kujitafuta lkn imegadhibika kwann ifungwe nyumban9 na club isiyo na jina lolote kimataifa kwasasa kama club ya yanga.