Wivu unachochea kuongezeka hisia za mapenzi na nguvu za kijinsia

Wivu unachochea kuongezeka hisia za mapenzi na nguvu za kijinsia

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Licha ya kuwa wivu una hasara nyingi, lakini pia miongoni mwa faida za wivu ni kuchochea hisia, hamasa, nguvu na hamu zaidi ya kimapenzi..

Fikra, mawazo, nguvu, akili na uwezo wote wa muhusika huhamia kwenye mapenzi.. Kule kujiamini na ubinafsi anaokuwa nao muhusika dhidi ya anae mzengeazengea mwenzi wake huzalisha nguvu, vichocheo na hisia za mapenzi kwa wingi na kwa haraka zaidi kwa lengo la kumlinda, kumfurahia, kumfurahisha na kumridhisha mwenzi wake...

Cheki wivu, hasira, kujiamini na nguvu za ajabu walizonazo mamalia kama vile mbuzi, ng"ombe, simba, mbwa n.k kwenye kuwaprotect wenza wao.. hali ile ya protection huchochea kuzalishwa na kuongezeka kwa vichocheo, hisia na nguvu za kimapenzi kwa wingi sana na haraka zaidi...

Hivi kuku nae ni mamalia bdugu zangu? maana nae ana wivu wa kimapenzi balaa...

Ni muhimu kua na wivu, hasira au ubinafsi wenye faida kwenye mapenzi, ili kuyafaidi na kuyafurahia zaidi :BASED:
 
licha ya kua wivu una hasara nyingi, lakini pia miongoni mwa faida za wivu ni kuchochea hisia, hamasa, nguvu na hamu zaidi ya kimapenzi..

fikra, mawazo, nguvu, akili na uwezo wote wa muhusika huhamia kwenye mapenzi..
kule kujiamini na ubinafsi anao kua nao muhusika dhidi ya anae mzengeazengea mwenzi wake huzalisha nguvu, vichocheo na hisia za mapenzi kwa wingi na kwa haraka zaidi kwa lengo la kumlinda, kumfurahia, kumfurahisha na kumridhisha mwenzi wake...

cheki wivu, hasira, kujiamini na nguvu za ajabu walizonazo mamalia kama vile mbuzi, ng"ombe, simba, mbwa n.k kwenye kuwaprotect wenza wao.. hali ile ya protection huchochea kuzalishwa na kuongezeka kwa vichocheo, hisia na nguvu za kimapenzi kwa wingi sana na haraka zaidi...

hivi kuku nae ni mamalia bdugu zangu? maana nae ana wivu wa kimapenzi balaa...

ni muhimu kua na wivu, hasira au ubinafsi wenye faida kwenye mapenzi, ili kuyafaidi na kuyafurahia zaidi :BASED:
chawa una haha sana kwani bado hujaolewa?mume nipohapa kamabado
 
chawa una haha sana kwani bado hujaolewa?mume nipohapa kamabado
kamanda umekuja hadi lwenye mapebzi na mihemko?:pedroP:

itumie viziri bana hiyo mihemko ikuongezee vichocheo na hisia za mapenzi, sawa?

sio ukajichue lakini, hiyo hapana na uache mara moja:pedroP:
 
kamanda umekuja hadi lwenye mapebzi na mihemko?:pedroP:

itumie viziri bana hiyo mihemko ikuongezee vichocheo na hisia za mapenzi, sawa?

sio ukajichue lakini, hiyo hapana na uache mara moja:pedroP:
Kwani kujichua kuna shida gani mkuu
 
Kwani kujichua kuna shida gani mkuu
wivu ukuchochee kua na hisia na vichocheo vya kutosha vya mapenzi sio ukuchochee ukajichue :pedroP:

athari za kujichua huonekana baadae sana ambazo ni pamoja na fedheha kwenye ndoa au uhusiano wako kwasababu ya kuperfom chini ya kiwango, kufika mshindo ndani ya sekunde5, huku ukitoa vimaji tu kidogo kama kuku, badala ya manii mazito yenye ujazo uliokamilika, ulegevu wa mapema sana mshedede na kutokua na uwezo wa kurejea kwenye round ya pili ya3 n.k

athari hizo ni kwa uchache tu kwa sababu ya muda:pulpTRAVOLTA:
 
wivu ukuchochee kua na hisia na vichocheo vya kutosha vya mapenzi sio ukuchochee ukajichue :pedroP:

athari za kujichua huonekana baadae sana ambazo ni pamoja na fedheha kwenye ndoa au uhusiano wako kwasababu ya kuperfom chini ya kiwango, kufika mshindo ndani ya sekunde5, huku ukitoa vimaji tu kidogo kama kuku, badala ya manii mazito yenye ujazo uliokamilika, ulegevu wa mapema sana mshedede na kutokua na uwezo wa kurejea kwenye round ya pili ya3 n.

athari hizo ni kwa uchache tu kwa sababu ya muda:pulpTRAVOLTA:
Ukimwi unakuua kabisa, bado hizo sababu zako hazina mashiko mkuu
 
Ukimwi unakuua kabisa, bado hizo sababu zako hazina mashiko mkuu
wivu ukuchochee kua na hisia za mapenzi kwa mkewe mpenzi nyumbani, kama alivyo na wivu na hamu na wewe hataki upitie popote unapotoka kazini upitilize moja kwa moja nyumbani na uwahi kufika nyumbani....

we ukjifanya mpepesa macho na kibeberu sana, yaani macho yako yanaona kila kitu, na vichocheo vyako vinatamani kuonja kila kinachokatiza mbele yako,

si tu unaweza kuukwaa ukimwi,
bali pia magonjwa ya fedheha kama vile UTI sugu, gono, kaswende n.k :pulpTRAVOLTA:

vichocheo vikubakize njia kuu na mke wako:pedroP:
 
wivu ukuchochee kua na hisia za mapenzi kwa mkewe mpenzi nyumbani, kama alivyo na wivu na hamu na wewe hataki upitie popote unapotoka kazini upitilize moja kwa moja nyumbani na uwahi kufika nyumbani....

we ukjifanya mpepesa macho na kibeberu sana, yaani macho yako yanaona kila kitu, na vichocheo vyako vinatamani kuonja kila kinachokatiza mbele yako,

si tu unaweza kuukwaa ukimwi,
bali pia magonjwa ya fedheha kama vile UTI sugu, gono, kaswende n.k :pulpTRAVOLTA:

vichocheo vikubakize njia kuu na mke wako:pedroP:
Waliokufa na ukimwi wengi ni walio na wake majumban ,tena mke ni hatari mno unaenda kichwa kichwa kwa sababu unamuamini.
 
Waliokufa na ukimwi wengi ni walio na wake majumban ,tena mke ni hatari mno unaenda kichwa kichwa kwa sababu unamuamini.
jambo muhimu sana la kuzingatia ni kwamba,
ukiaona wivu unakuchochae kua na hamu ya kufanya mapenzi nje ya ndoa yako,

basi ujue kama sio ukimwi, ni UTI sugu, gono au kaswende vinakuita kwa haraka sana :pedroP:
 
Back
Top Bottom