Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Unajua kama na wewe ulielewa vizuri ishu ni kwamba ommy alipanga kufanya collabo na hao wasanii lakini,ishu ikaja kutokea kwamba diamond amewakamata hao wasanii woye kwa wakati mmoja ilihali rafiki yake tayari alishapanga kufanya nao,lakini pia ishu ya diamond kupanda dau kutoka $3000 ya ommy hadi $5000 ili tu ampiku best yake kwenye kolabo ambayo ommy alishaiwahi haileti picha nzuri kwa best friends.kama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?
Mbona tayari Diamond ameshaanza kumwaga povu huko Instagram....Siku Diamond akijibu, watu watatafuta airtime kwenye radio kwa nguvu zaidi kuliko alivyofanya jana Ommy Dimpoz.
Kwa hiyo unajaribu kusema aliyo yasema Dimpozi ndio ukweli lakini aliyo yasema Diamond hasa kuhusu swala la michezo mibaya ni uongo? Kama aliyo yasema Dimpozi yanachukuliwa ni ukweli basi hata aliyo yasema Diamond ni ukweli..labda useme umetumia formular gani kubaini alicho sema Dimpoz ndio ukweli na alichosema Diamond ni uongo....Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
Kwani davido na iyanya wameacha kuimba?Unajua kama na wewe ulielewa vizuri ishu ni kwamba ommy alipanga kufanya collabo na hao wasanii lakini,ishu ikaja kutokea kwamba diamond amewakamata hao wasanii woye kwa wakati mmoja ilihali rafiki yake tayari alishapanga kufanya nao,lakini pia ishu ya diamond kupanda dau kutoka $3000 ya ommy hadi $5000 ili tu ampiku best yake kwenye kolabo ambayo ommy alishaiwahi haileti picha nzuri kwa best friends.
Hapa ni celebrities forum, vitu vya msingi nenda jukwaa la biashara na jamii intelligenceWabongo mpovizuri sana katika kufatilia maisha ya watu wanaume kabisa mnajadili ujinga huu aisee umbea wa vibarazani huu.Jadilini vitu vya msingi jamani hii mipasho aina maana yoyote ujinga tu
ha haHapa ni celebrities forum, vitu vya msingi nenda jukwaa la biashara na jamii intelligence
Yani watu dizaini zako sijui huwa mnawaza kwa kutumia nn jf ina majukwaa kibao umeacha yooote umekuja huku kwenye umbea afu huutaki umbea, pole sanaUpunguani tu mtafkiri mnalipwa iyo mipasho kumbenayo ni burudani basi nilikuwa sijui mhaa kweli tunafikiri asilimia moja tu katika alizetu naanza kuamini wabongo wengi vichaa utafiti haukukosea
Haa haaa poleee! Nafkiri umejijibu vizuri mwenye akili timamu hawezi kumjadili mtu au watu akasema hiyo ni burudaniYani watu dizaini zako sijui huwa mnawaza kwa kutumia ma wowowo jf ina majukwaa kibao umeacha yooote umekuja huku kwenye umbea afu huutaki umbea, pole sana
kama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?
Angalia Diamond alivobebwa na davido,akapelekwa level zingne,ni kazi na davido ndiyo imemuweka mond pazuri,davido wa leo sio yule,domo mswahil wa uswahiliniYani watu dizaini zako sijui huwa mnawaza kwa kutumia ma wowowo jf ina majukwaa kibao umeacha yooote umekuja huku kwenye umbea afu huutaki umbea, pole sana
Ni sawa na uende jukwaa la siasa afu hupendi wanavopost siasa sasa si uchawi huuHaa haaa poleee! Nafkiri umejijibu vizuri mwenye akili timamu hawezi kumjadili mtu au watu akasema hiyo ni burudani
kama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?
Huyu atakuwa team Dimpoz.Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naiona Tanzania ya viwanda