Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,
Ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL huko clouds FM ni kweli, basi huyu bwana mdogo wivu wake ni wa kiwango cha juu sana, na hizi tabia za kitoto ambazo anazifanya ili tu kusababisha wenzake waonekane hawana maana kwa kweli ni hujuma kubwa sana,kwanini anapenda kufanya wenzake waonekane wabaya katika jamii ikiwa yeye amefanikiwa zaidi yao?
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
Ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL huko clouds FM ni kweli, basi huyu bwana mdogo wivu wake ni wa kiwango cha juu sana, na hizi tabia za kitoto ambazo anazifanya ili tu kusababisha wenzake waonekane hawana maana kwa kweli ni hujuma kubwa sana,kwanini anapenda kufanya wenzake waonekane wabaya katika jamii ikiwa yeye amefanikiwa zaidi yao?
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.