mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 949
Weka picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho ya husda wewe, unajua Davido kaimba Collabo na wasanii wangapi wa Afrika mashariki?angalia diamond alivobebwa na davido,akapelekwa level zingne,ni kazi na davido ndiyo imemuweka mond pazuri,davido wa leo sio yule,domo mswahil wa uswahilini
kama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?
Umeshapotea ki mawazo pole sana.. Muziki hauendi ivyokama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?
Nimeuliza kwa kipindi kile kulingana na madai yake!! Hatubishani kuonyeshana nani anajua na nani hajui muzikiWewe hujui mziki,watu wanaangalia trend ya msanii
Naunga mkono hojaaNajua wenye team zenu mtapanik sana tu,ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
ungeninjibu au kuniweka sawq wewe ambaye uko sahihi kimawazo!Umeshapotea ki mawazo pole sana.. Muziki hauendi ivyo
Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
Ndiye huyo mkuu[emoji23]Diamond ndo yule anaeshinda kwa waganga wa kienyeji?
Kama kweli dai alimfanyia mwenzie hivyo sio vizuri kabisa haipendezi.nimesikiliza interview ya ommy kusema ukweli hajaongea chochote kibaya kuhusu dai na ameongea kwa busara sana nimempenda bureUnajua kama na wewe ulielewa vizuri ishu ni kwamba ommy alipanga kufanya collabo na hao wasanii lakini,ishu ikaja kutokea kwamba diamond amewakamata hao wasanii woye kwa wakati mmoja ilihali rafiki yake tayari alishapanga kufanya nao,lakini pia ishu ya diamond kupanda dau kutoka $3000 ya ommy hadi $5000 ili tu ampiku best yake kwenye kolabo ambayo ommy alishaiwahi haileti picha nzuri kwa best friends.
Watoto wa uswaz wana roho ya kwa nini?..hawapend ufanikiweAna roho ya kichawi huyu mtoto.
Sawa mkuuOmmy kwa kweli umepata mashabiki wengi sana kwa interview yako ya jana. Kazana mno sisi tupo nawe.