Wivu wa Diamond ni zaidi ya "Mke mwenza"

Wivu wa Diamond ni zaidi ya "Mke mwenza"

angalia diamond alivobebwa na davido,akapelekwa level zingne,ni kazi na davido ndiyo imemuweka mond pazuri,davido wa leo sio yule,domo mswahil wa uswahilini
Acha roho ya husda wewe, unajua Davido kaimba Collabo na wasanii wangapi wa Afrika mashariki?

Mbona hawajatusua kama Diamond Platnumz!!?
 
Imerudi tena, sasa awe na wivu wa nini?

Tabu wewe ndie hulali unawazia kuwa kama yeye na wenzako wengi, acheni uvivu tafuteni na kuacha kumtungia uongo.

Oooh Diamond is the best
 
kama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?


Wewe hujui mziki, watu wanaangalia trend ya msanii
 
Hivi kabisa midume mizima hamuoni hata aibu kuanza kutoana macho kisa diamond kasemwa? Alikiba kasemwa au dimpoz kasemwa?

Halafu utashangaa mtu atakaewashangaa kulalamika mnaposikia chips ulojo vinatumiwa Sana na Vijana aina Yenu na Zamaradi akiwaita kwenye interview watu tunalalama oooh interview ile gains maadili
 
kama madai ya ommy ni ya kweli!!!
Ila kama umemuelewa naomba nijibu hili,anasema alipanga kufanya collabo na davido daimind akamzunguka kurudi kwa iyanya akakuta tayari jamaa kafanya tena collabo!
Nini kilimzuia yeye kufanya collabo na hao watu ilhali mpaka leo davido na iyanya bado wanafanya mziki?
Umeshapotea ki mawazo pole sana.. Muziki hauendi ivyo
 
Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
Naunga mkono hojaa
 
Umeshapotea ki mawazo pole sana.. Muziki hauendi ivyo
ungeninjibu au kuniweka sawq wewe ambaye uko sahihi kimawazo!
Huo muziki unaendaje?
hatubishani kuonyesha nani anajua na nani hajui lengo ni kuwekana sawa tu!
Mimi na wewe hakuna anayeimba ila ni wapenda burudani tu!!
lengo ni hilo tu
 
Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.

Diamond ndo yule anaeshinda kwa waganga wa kienyeji?
 
Unajua kama na wewe ulielewa vizuri ishu ni kwamba ommy alipanga kufanya collabo na hao wasanii lakini,ishu ikaja kutokea kwamba diamond amewakamata hao wasanii woye kwa wakati mmoja ilihali rafiki yake tayari alishapanga kufanya nao,lakini pia ishu ya diamond kupanda dau kutoka $3000 ya ommy hadi $5000 ili tu ampiku best yake kwenye kolabo ambayo ommy alishaiwahi haileti picha nzuri kwa best friends.
Kama kweli dai alimfanyia mwenzie hivyo sio vizuri kabisa haipendezi.nimesikiliza interview ya ommy kusema ukweli hajaongea chochote kibaya kuhusu dai na ameongea kwa busara sana nimempenda bure
 
Back
Top Bottom