Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
- Thread starter
- #41
Mimi pia naona hivyoJamaa atakuwa na shida mahali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia naona hivyoJamaa atakuwa na shida mahali
DIAMOND hajabadilika, tangu kioindi za OMMY DIMPOZ, mpaka leo harmonise!!!!!!!!!!!!Najua wenye team zenu mtapanik sana tu,
Ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL ni kweli basi huyu mwanaume wa dar wivu wake umepita kiwango ambacho mwanaume halisi anatakiwa kuwa nacho, na hizi tabia za kitoto ambazo anafanya atasababisha wanaume wote tuonekane hatuna tofauti na dada zetu.
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
HiVI dayamondi Ni Mungu au?Siku Diamond akijibu, watu watatafuta airtime kwenye radio kwa nguvu zaidi kuliko alivyofanya jana Ommy Dimpoz.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ana ukamilifu gan yule? Mbna ana tabia afadhar hata ya hao mashoga, wee uliambiwa mtu kuzalisha hawez kua shoga?Hivi kwanini mashoga hammpendi??au kwasababu Ni dume lililokamilika linazolisha Kila nchi?
Siwajui mashoga lakini I can bet huwezi Kuwa shoga kama unaujua utamu wa coomer[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ana ukamilifu gan yule? Mbna ana tabia afadhar hata ya hao mashoga, wee uliambiwa mtu kuzalisha hawez kua shoga?
Unamjua Somizi? [emoji23][emoji23][emoji23]
mapete ya kichawi vidole vyote.Diamond ndo yule anaeshinda kwa waganga wa kienyeji?
Majibu ya huo mtazamo wako, wanayo mashoga waliooa, wanaacha wake zao ndani na kwenda kutafuta mshedede nje,Siwajui mashoga lakini I can bet huwezi Kuwa shoga kama unaujua utamu wa coomer
aiseeNajua wenye team zenu mtapanik sana tu,
Ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL huko clouds FM ni kweli, basi huyu bwana mdogo wivu wake ni wa kiwango cha juu sana, na hizi tabia za kitoto ambazo anazifanya ili tu kusababisha wenzake waonekane hawana maana kwa kweli ni hujuma kubwa sana,kwanini anapenda kufanya wenzake waonekane wabaya katika jamii ikiwa yeye amefanikiwa zaidi yao?
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
Sasa kama haiwezi kuzibwa kwa nini mnalialia?. AKIZIBA ZIBUENI,ZIBENI NA NYIENajua wenye team zenu mtapanik sana tu,
Ila kama aliyosema Ommy dimpz leo kweny kipindi cha XXL huko clouds FM ni kweli, basi huyu bwana mdogo wivu wake ni wa kiwango cha juu sana, na hizi tabia za kitoto ambazo anazifanya ili tu kusababisha wenzake waonekane hawana maana kwa kweli ni hujuma kubwa sana,kwanini anapenda kufanya wenzake waonekane wabaya katika jamii ikiwa yeye amefanikiwa zaidi yao?
Naomba mshaurini ajirekebishe mapema kwani mafanikio hayaletwi na fitna na kama riziki ipo basi ipo tu haiwezi kizibwa na ungo.
Hii point hata haiingii kichwani. Wale ni wanamziki wakubwa. Wana managment pia. Kama wewe umeongea nao kwa 3000 wakakubali na mimi nikaongea nao kwa 5000 wakakubali. Basi kila mmoja watampangia miadi ya kufanya nae collabo. Ksbb elewa wimbo nitakaofanya nao mimi sio wimbo utakaofanya nao wewe. Kuna uwezekano na maudhui tofauti. Hapo hawa kenge wanatafuta mchawi ili hali ni wao kuchukua nafasi za mademuUnajua kama na wewe ulielewa vizuri ishu ni kwamba ommy alipanga kufanya collabo na hao wasanii lakini,ishu ikaja kutokea kwamba diamond amewakamata hao wasanii woye kwa wakati mmoja ilihali rafiki yake tayari alishapanga kufanya nao,lakini pia ishu ya diamond kupanda dau kutoka $3000 ya ommy hadi $5000 ili tu ampiku best yake kwenye kolabo ambayo ommy alishaiwahi haileti picha nzuri kwa best friends.