Wivu wake umefanya anione mbaya

Wivu wake umefanya anione mbaya

Leo ndo nakumbuka maneno yako mkuu [emoji26][emoji26]

Sasa hivi nikileta uzi wa maana hauchangiwi, wakijitahidi sana wanaanzisha conversations za kujuliana hali na kupoteana kwenye uzi wangu wa kuomba ushauri kuhusu maumivu ya jino
Umeona sasa!? Kwa sababu wameisha tengeneza mtazamo juu yako kuwa unatafta attention yao tu
 
Leo ndo nakumbuka maneno yako mkuu [emoji26][emoji26]

Sasa hivi nikileta uzi wa maana hauchangiwi, wakijitahidi sana wanaanzisha conversations za kujuliana hali na kupoteana kwenye uzi wangu wa kuomba ushauri kuhusu maumivu ya jino
[emoji23][emoji23][emoji23]
Bora nisikose MB kwenye simu yangu
 
Back
Top Bottom