Tena wa kitoto sometymz hua mbaya kweli maana unaweza hata kumsingizia mwenzako uongo au kutoa siri ili kukomoanaHivi hujawahi kusikia wivu mama yako mzazi anaitwa mama fulani yaani jina la dada yako au kaka ukaanza kujisikia mnyonge na kutamani aitwe mama shantel, hamuwezi amini hii ilinitesa sana utotoni hadi kukonda ila sasa hivi nikifikiria huwa nacheka na wala sijawahi kumwambia mama wala ndugu zangu.kwa hiyo wivu ni kwa wote hadi watoto nao wanasikiaga wivu
Mmh Mzee DC kupata mtoto mzuri siyo ndani ya uwezo wetu?
Yes Mmasai amezaliwa kwa ajili yangu, he is best in whatever a parameter under considerationMmasai?????
watu wenye mawivu utawajua tu. sasa ulifkiria nini hata ukaanzisha sredi la mawivu?, najua unamuonea mawivu mrembo flani (jina kapuni) kwakuwa yuko na mimi. lizzy bana!
Hawa mahandsome boys wa ukweli wengi ni ovyo tena sana especially kuiongoza famalia.We live in order to pass our genes to next generation sasa hapo siwezi kabisa kufanya kosa la kumkubali mtu kisa sharobaro wakati ni mvivu sana kimawazo.Mimi sitaki kuja kuwa na mitoto nusu shoga.Hahahaha Marytina usishawishike tu kumsaliti morani wetu.Alafu kumbuka na wewe unachangia...mwenzako anaweza asiwe muuza sura sana ila ukapata kacute balaa kama mwenyewe unalipa!
Hawa mahandsome boys wa ukweli wengi ni ovyo tena sana especially kuiongoza famalia.We live in order to pass our genes to next generation sasa hapo siwezi kabisa kufanya kosa la kumkubali mtu kisa sharobaro wakati ni mvivu sana kimawazo.Mimi sitaki kuja kuwa na mitoto nusu shoga.
Hahaha mzee DC bwana..unachoma mule mule!Ila mimi nimeshabahatika Marytina ndo anataka sasa!Kuhusu jina ikiwa ntakumbukwa na kupewa heshima kama mwanzilishi..ujumbe umefika!How? Na mzuri wa aina gani unaongelea? Kama unaongelea mrembo wakati wewe si mrembo na baba si handsome basi unajidanganya!!
Kubali tu kwamba huwezi kumpata ili uhangaikie yale unayoweza kuyapata!!
Mzee DC! (wambie na wajukuu wangu wote wa zamani wasirudie tena kuniita babu, sawa!!)
Natamani kukuita babu ila najizuia!Nwyz kama bibi hatajali naomba nikuandalie chakula cha mchana weekend hii kwa hii post!Chochote ukipendacho!Naona wewe unaingia na U-turn kwenye uwanja wa Lizzy. Wewe pia huna wivu ni hizi kurasa 5 alizovuta?
Basi usijali uzuri wa sura maana kwenu atakua mzuri tu kwa vyovyote!Ila tu usije ukaanza kumlinganisha mwanao na wa fulani au ukatamani angekua kama wa fulani!Hawa mahandsome boys wa ukweli wengi ni ovyo tena sana especially kuiongoza famalia.We live in order to pass our genes to next generation sasa hapo siwezi kabisa kufanya kosa la kumkubali mtu kisa sharobaro wakati ni mvivu sana kimawazo.Mimi sitaki kuja kuwa na mitoto nusu shoga.
nashkuru kwa kunipenda. ubarikiweWivu unatesa sana jamani mtu unakuwa na wasiwasi masaa yote sababu ya wivu, Mie huwa nina wivu wa mapenzi hadi napata vidonda. lol
makazini nako usiseme ukiitwa na boss mara mbili baaas, wadada wengine ni wivu kwa kwenda mbele unaweza nuniwa bila sababu. Mi napenda watu wenye wivu wa maendeleo
Natamani kukuita babu ila najizuia!Nwyz kama bibi hatajali naomba nikuandalie chakula cha mchana weekend hii kwa hii post!Chochote ukipendacho!
Wivu unatesa sana jamani mtu unakuwa na wasiwasi masaa yote sababu ya wivu, Mie huwa nina wivu wa mapenzi hadi napata vidonda. lol
makazini nako usiseme ukiitwa na boss mara mbili baaas, wadada wengine ni wivu kwa kwenda mbele unaweza nuniwa bila sababu. Mi napenda watu wenye wivu wa maendeleo
Mmh angalia usije ukafa kwa wivu bibie!Ila hao wa kazini unawaacha waendelee kununa wakati wewe na bosi mnajadili kuhusu kupandishwa kwako cheo!Wivu unatesa sana jamani mtu unakuwa na wasiwasi masaa yote sababu ya wivu, Mie huwa nina wivu wa mapenzi hadi napata vidonda. lol
makazini nako usiseme ukiitwa na boss mara mbili baaas, wadada wengine ni wivu kwa kwenda mbele unaweza nuniwa bila sababu. Mi napenda watu wenye wivu wa maendeleo
Bibi mzuri kweli!UngaLDT ndo kwenyewe ila hujaniambia utapendelea chakula gani mzee DC!Hivi umesema kuwa unapatikana Unga Limited au nakosea? Next week ndani ya nyumba. Bibi hana wasi wasi na Mzee wake. Hawezi kupata vidonda vya tumbo kwani muda aliokaa na mzee unamtosha kupigia mistari miwili, kama kalamba karata ya maana ua gharasha!
Hiyo lunch lazima ishughulikiwe..ngoja nitakutafuta kwa ajili ya logistics!
Bibi mzuri kweli!UngaLDT ndo kwenyewe ila hujaniambia utapendelea chakula gani mzee DC!
Ulitumia busara kweli BW...ndugu wa aina hiyo wanaweza kusababisha mtafaruku wa ajabu!