Wiz Khalifa amshauri Kanye West avute ganja ili zimsaidie apone kabisa

Wiz Khalifa amshauri Kanye West avute ganja ili zimsaidie apone kabisa

Tatizo la watanzania bwana ni ujinga....usikute huyu mleta mada ni wale vijana wa kidigitali waliodanganya wanakwenda kusoma Marekani kisha wakafikia kuwa "wannabes." Marekani wamejaa sana wabongo wa dizaini hii, shule hawasomi wao wako bize tu kuiba, kulewa, kuchukuliana mabibi/mabwana, na kuiga wamarekani weusi kutwa kucha huku wakiwadanganya wenzao waliopo huku bongo walialikwa party kwa Kanye West. Wiz Khalifa is a useless man na hafai kusikilizwa kwani hata wamarekani wenyewe wanamjuwa kuwa he's a fucked up stoner and NEVER take him seriously isipokuwa mleta mada tu ambaye ni wannabe Mmarekani mweusi.
 
Sio rahisi, currently they are reprogramming him, kwa hiyo nadhani wanamfunga mdomo kwa namna wanavyojua wao... Na atakaporejea atakaa kimya na hiyo ndo chance itakayomweka hai, otherwise wanaeza mtengenezea tukio na ukaskia amekufa kwa sababu ya drug addiction with excessive dossage.... Hawakawii kumwundia zengwe. History inaonesha wengi waliofichua live au hata kwa imagery hawakuishi mda mrefu, aaliyah, ashanti, pac na hata Steve Jobs
Ooh lord..!! Kwahiyo celebrities wote wa State ni masons au?
 
usiwe mjinga kihivyo.....nimeongelea mafanikio yangu wapi? I hope wewe ni mtu mzima au una akili timamu. Jiulize, as a black man....ungependa kuwakilishwa na Wiz Khalifa bungeni and why not? Dude is so fucking stupid.
Why not? Unadhani hana akili yule jamaa? Au wewe unayachukulia yale maisha ya mbele ya kamera kana kwamba ndio maisha yake halisi? Shamefool
 
YAN ANA MATATIZO YA AKILI NA BADO ANASHAURIWA AVUTE BANGI...WANIACHE KIDOGO
 
usiwe mjinga kihivyo.....nimeongelea mafanikio yangu wapi? I hope wewe ni mtu mzima au una akili timamu. Jiulize, as a black man....ungependa kuwakilishwa na Wiz Khalifa bungeni and why not? Dude is so fucking stupid.
Sasa wewe unataka watu waache ujinga wakati wewe ndiyo unakumbatia huo ujinga.

Nani kakwambia Wiz Khalifa anataka akawakilishe watu bungeni?

Wewe inaonyesha umewaachia wanasiasa wakushikilie akili zako.

Wiz Khalifa is a free man. Seen?

And on top of that has only one life to lead.

Wiz yeye anapenda pop culture. Na ameamua kuishi vile anavyofurahia. Huoni hana wasisiwasi na nyie haters?

Life is one big road brother. Free yourself from hatred, mischief and jealous.

Nauhakika wewe unaishi maisha ya kawaida kawaida tu ndiyo maana unaona watu wanaoishi unapologetically bila kujali society inasema nini wanakushangaza.

Huwezi fikia vile spirit zao zipo juu.

One love from Mt Oldonyo Lengai.
 
Sasa wewe unataka watu waache ujinga wakati wewe ndiyo unakumbatia huo ujinga.

Nani kakwambia Wiz Khalifa anataka akawakilishe watu bungeni?

Wewe inaonyesha umewaachia wanasiasa wakushikilie akili zako.

Wiz Khalifa is a free man. Seen?

And on top of that has only one life to lead.

Wiz yeye anapenda pop culture. Na ameamua kuishi vile anavyofurahia. Huoni hana wasisiwasi na nyie haters?

Life is one big road brother. Free yourself from hatred, mischief and jealous.

Nauhakika wewe unaishi maisha ya kawaida kawaida tu ndiyo maana unaona watu wanaoishi unapologetically bila kujali society inasema nini wanakushangaza.

Huwezi fikia vile spirit zao zipo juu.

One love from Mt Oldonyo Lengai.


Nimekupa tu mfano kukuonyesha kuwa the guy is lame and so fucking stupid.
 
Nani amewashupalia? Alafu inaonesha maisha ya wamarekani weusi yanakukosesha amani kiasi kwamba mpaka unawachukia, ukiulizwa sababu ya kuwachukia sijui kama utaitaja...
anyway hebu niambie umetumia kipimo gani mpaka ukagundua kwamba wiz khalifa hana akili?
Alafu mwisho uniambie kwamba Je, unayafikia mafanikio ya wiz khalifa japo robo tu?


Kama nilivyosema, kijana una matatizo. Kuwa a wannabe kwa kweli ni matatizo ya kiakili. No African person anapenda kuhusishwa na a black american huko US, no fucking way. Dogo LAZIMA utakuwa hujitambui tu.
 
Back
Top Bottom