Wizara ifatilie hii Kampuni hii ya Madini(RHN)

Wizara ifatilie hii Kampuni hii ya Madini(RHN)

Smallfish

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2012
Posts
241
Reaction score
66
Kampuni ya RED HILL NICKEL inatesa wafanyakazi wake kwa kutowalipa mishara ya miezi 2. Wanchi wa Dutwa pia walifanyiwa tathmini ya kulipwa maeneo yao kupisha mradi wa mgodi hadi sasa hawajafalipwa na kampuni haijawajulisha hatma ya ardhi yao.Je serekalini inataarifa hizi za huyu mwekezaji. Prof.Muhongo kazi kwako!
 
Back
Top Bottom