Wizara na division v

Balungi

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
234
Reaction score
162
Nchi hii imekuwa ya majaribio maana kila anayeingia katika wadhifa fulani anajitahidi kufuta/kurekebisha ya mwenzake ili kuleta mfumo mpya bila kujali athari zake kwa jamii na hii inatokana na udhaifu wa katiba iliyopo pamoja na watanzania kutojitambua. Kwenye elimu walianza wengine akaja MUNGAI nae akatibua pake na sasa tupo kwenye DIVISION FIVE, Tusipokuwa makini mengi yanakuja.
NAWASILISHA
 

kwa hiyo kipi kifanyike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…