Wizara ya Afya, hii inakuwaje?

Wizara ya Afya, hii inakuwaje?

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
Hello JF...

Naomba kuuliza kwa nini wizara ya Afya haiko responsive kukitokea milipuko ya magonjwa??.....

Week iliyopita karibu kila mtu Dar es Salaam alikua na mafua, nilitegemea serikali kuja public kama ni kitu serious tujue jinsi ya kujikinga, ama ni kitu tu cha kupita. Sometimes we just need assurance kwamba somebody outhere have answers... Sasa mkikaa kimya hamuoni mnatengeneza sintofahamu..?!

So far milipuko inakuja na kuondoka,
I'm worried huu UTAMADUNI wa kuweka Umma in the dark, Siku moja kitatokea God forbid kirusi/ mlipuko utakao wipe all of us ambapo labda simple steps zingetusevu..lol...

Nyie mnaonipigaga vijembe kwenye topics zangu mtajijuuuuu Becky kashaota ngozi ya kenge...mtajijuuu
 
Hello JF...

Naomba kuuliza kwa nini wizara ya Afya haiko responsive kukitokea milipuko ya magonjwa??.....

Week iliyopita karibu kila mtu Dar es Salaam alikua na mafua, nilitegemea serikali kuja public kama ni kitu serious tujue jinsi ya kujikinga, ama ni kitu tu cha kupita. Sometimes we just need assurance kwamba somebody outhere have answers... Sasa mkikaa kimya hamuoni mnatengeneza sintofahamu..?!

So far milipuko inakuja na kuondoka,
I'm worried huu UTAMADUNI wa kuweka Umma in the dark, Siku moja kitatokea God forbid kirusi/ mlipuko utakao wipe all of us ambapo labda simple steps zingetusevu..lol...

Nyie mnaonipigaga vijembe kwenye topics zangu mtajijuuuuu Becky kashaota ngozi ya kenge...mtajijuuu
 
Topic closed, lol.... nilikua sijaiona..lol
 
Hello JF...

Naomba kuuliza kwa nini wizara ya Afya haiko responsive kukitokea milipuko ya magonjwa??.....

Week iliyopita karibu kila mtu Dar es Salaam alikua na mafua, nilitegemea serikali kuja public kama ni kitu serious tujue jinsi ya kujikinga, ama ni kitu tu cha kupita. Sometimes we just need assurance kwamba somebody outhere have answers... Sasa mkikaa kimya hamuoni mnatengeneza sintofahamu..?!

So far milipuko inakuja na kuondoka,
I'm worried huu UTAMADUNI wa kuweka Umma in the dark, Siku moja kitatokea God forbid kirusi/ mlipuko utakao wipe all of us ambapo labda simple steps zingetusevu..lol...

Nyie mnaonipigaga vijembe kwenye topics zangu mtajijuuuuu Becky kashaota ngozi ya kenge...mtajijuuu
Becky Mambo..
 
Hello JF...

Naomba kuuliza kwa nini wizara ya Afya haiko responsive kukitokea milipuko ya magonjwa??.....

Week iliyopita karibu kila mtu Dar es Salaam alikua na mafua, nilitegemea serikali kuja public kama ni kitu serious tujue jinsi ya kujikinga, ama ni kitu tu cha kupita. Sometimes we just need assurance kwamba somebody outhere have answers... Sasa mkikaa kimya hamuoni mnatengeneza sintofahamu..?!

So far milipuko inakuja na kuondoka,
I'm worried huu UTAMADUNI wa kuweka Umma in the dark, Siku moja kitatokea God forbid kirusi/ mlipuko utakao wipe all of us ambapo labda simple steps zingetusevu..lol...

Nyie mnaonipigaga vijembe kwenye topics zangu mtajijuuuuu Becky kashaota ngozi ya kenge...mtajijuuu

Bado ni wazo zuri ulilokuwa nalo.
Ni vizuri kwamba jibu limepatikana, lakini kiutaratibu hata RUMOURS/ UVUMI kwa wizara ya afya huwa inaufanyiakazi.

Kuna fomu zake huwa zinajazwa na ufatiliaji kufanywa. Tutoe taarifa kwa kadri na kwa kufuata taratibu na uongozi wa serikali karibu yako kwa chochote na kinafanyiwakazi kwa taratibu zilizopo.
 
Hello JF...

Naomba kuuliza kwa nini wizara ya Afya haiko responsive kukitokea milipuko ya magonjwa??.....

Week iliyopita karibu kila mtu Dar es Salaam alikua na mafua, nilitegemea serikali kuja public kama ni kitu serious tujue jinsi ya kujikinga, ama ni kitu tu cha kupita. Sometimes we just need assurance kwamba somebody outhere have answers... Sasa mkikaa kimya hamuoni mnatengeneza sintofahamu..?!

So far milipuko inakuja na kuondoka,
I'm worried huu UTAMADUNI wa kuweka Umma in the dark, Siku moja kitatokea God forbid kirusi/ mlipuko utakao wipe all of us ambapo labda simple steps zingetusevu..lol...

Nyie mnaonipigaga vijembe kwenye topics zangu mtajijuuuuu Becky kashaota ngozi ya kenge...mtajijuuu
Hela za covid wamekula na zingine kujengea vyoo,kwahiyo wakisema ni covid watu watahoji hizo pesa zimenunua nini upande wa wizara ya afya
 
Bado ni wazo zuri ulilokuwa nalo.
Ni vizuri kwamba jibu limepatikana, lakini kiutaratibu hata RUMOURS/ UVUMI kwa wizara ya afya huwa inaufanyiakazi.

Kuna fomu zake huwa zinajazwa na ufatiliaji kufanywa. Tutoe taarifa kwa kadri na kwa kufuata taratibu na uongozi wa serikali karibu yako kwa chochote na kinafanyiwakazi kwa taratibu zilizopo.
Sawasawa, ningependa kuishauri utaratibu wa ku report uwe simplified, iwe kiganjani,kujaza fomu tena???,,, pia,wekeni juhudi kuwaelimisha watu wajue huo utaratibu..
Wengi hata hapa JF hatujui utaratibu wa ku report
 
Sawasawa, ningependa kuishauri utaratibu wa ku report uwe simplified, iwe kiganjani,kujaza fomu tena???,,, pia,wekeni juhudi kuwaelimisha watu wajue huo utaratibu..
Wengi hata hapa JF hatujui utaratibu wa ku report

Generally, wajibu wa mwananchi ni kutoa fununu zozote serikali ya mitaa. Kila uongozi wa serikali ya mtaa unao wajibu wa kuzifikisha taarifa husika sehemu husika.

Watu ambao hujaza fomu ni wahudumu wa afya wanaokuja kufanya tracing ya kilichoripotiwa.

Pia, kwa vituo vya afya vina mamlaka ya kutoa ripoti kwa mfumo wa kielectroni mara tu wapatapo taarifa za mgonjwa wa milipuko wowote au janga linaloweza kuhatarisha maisha ya wananchi ndani ya muda mfupi kwa kufuata vigezo vilivyowekwa.
 
Generally, wajibu wa mwananchi ni kutoa fununu zozote serikali ya mitaa. Kila uongozi wa serikali ya mtaa unao wajibu wa kuzifikisha taarifa husika sehemu husika.

Watu ambao hujaza fomu ni wahudumu wa afya wanaokuja kufanya tracing ya kilichoripotiwa.

Pia, kwa vituo vya afya vina mamlaka ya kutoa ripoti kwa mfumo wa kielectroni mara tu wapatapo taarifa za mgonjwa wa milipuko wowote au janga linaloweza kuhatarisha maisha ya wananchi ndani ya muda mfupi kwa kufuata vigezo vilivyowekwa.
Nimekuelewa thanks ...
 
Nimeangalia leo TBC mkutano wa waziri wa afya bibi gwajima


Niseme tu mwitikio wa watu ni mdogo sana kwanza wameenda watoto wengi kumuangalia konde boy kuhusu kumsikiliza hata hawajali

Hadi aibu
 
Viongozi wetu wengi wapo kwa ajili ya ulaji lakini sio kuumiza kichwa kwa ajili ya wananchi wao, vile wanajua wapo madarakani kwa muda tu, kwa hiyo bora wafanye mambo yao chap chap na. Sio kwa ajili ya wananchi wake
 
Back
Top Bottom