MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Yeye mwenyewe hajui kwanini 😀duh, kwanini sasa tusile matunda? hata kidogo?
Duuh sijui kasomea wapi huyu Dr!Kwa mfano huyu anaambia watu watembee juani na wanywe maji yenye chumvi bila kutoa sababu zozote za kisayansi kisa tu ni mtu wa mazoezi. Huu ni upotoshaji wa makusudi unaoweza kuleta madhara kwa taifa. Afya ni kitu sensitive sana haipaswi kufanyiwa mizaha. Waziri wa afya apige marufuku watu kama hawa.
View: https://www.instagram.com/p/DEtuuxttq1q/?igsh=MTFyMHM1YjA1Y3BnbQ==
Mtu anayefanya mazoezi asile matunda?Nadhani ni kwa ajili ya watu wanaofanya mazoezi.
Hata wa mazoezi hii hapo,sigara, pombe ni sawa,maji Tena na chmvi! Mpya,2025.Nadhani ni kwa ajili ya watu wanaofanya mazoezi.
Anahitaji protini kwa wingi ili kuweza kujenga mwili.Mtu anayefanya mazoezi asile matunda?
Hata kama shule hamna hili la matunda kama naota!Mtu anayefanya mazoezi asile matunda?
Ni kweli ila mwili haujengwi na protini peke yake. Kwa mfano mwanariadha anatakiwa ale bamia na mlenda kwa sana.Anahitaji protini kwa wingi ili kuweza kujenga mwili.
hawa wanaweza kuwa pseudointellectualsYeye mwenyewe hajui kwanini 😀
Eti unywe muarovera,ulivyo mchungu mpaka moyo unataka kutoka!hawa wanaweza kuwa pseudointellectuals
wanajifanya wanajua lakini hawana taaluma husika
sema kuamini vitu vya mtandao kirahisi rahisi sio tabia nzuri
Kuna Dr mmoja yuko Youtube alisemaKwa mfano huyu anaambia watu watembee juani na wanywe maji yenye chumvi bila kutoa sababu zozote za kisayansi kisa tu ni mtu wa mazoezi.
Huu ni upotoshaji wa makusudi unaoweza kuleta madhara kwa taifa. Afya ni kitu sensitive sana haipaswi kufanyiwa mizaha. Waziri wa afya apige marufuku watu kama hawa.
View attachment 3205527