Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Wewe mkewe ungesaidia kufafanua allichopost mumeoMatunda sugar, maji ya chumvi unywe km unafanya mazoezi sana...niliona mahali sikumbuki walisema nini, ila kuna chemicals mwilini zinahitaji kuwa balanced na salted water, sio uweke chumvi nyingi kwenye maji, he is right kabla hujamdiscredit ungesema amekosea wapi.
Kama umeshindwa kunielewa akili yako imejaa funzaWewe mkewe ungesaidia kufafanua allichopost mumeo
Ungemwambia huyo "Ommy" akupeni maelezo ya kila dondoo kwa kina na faida zake kwa mshauriwa.Kwa mfano huyu anaambia watu watembee juani na wanywe maji yenye chumvi bila kutoa sababu zozote za kisayansi kisa tu ni mtu wa mazoezi.
Huu ni upotoshaji wa makusudi unaoweza kuleta madhara kwa taifa. Afya ni kitu sensitive sana haipaswi kufanyiwa mizaha. Waziri wa afya apige marufuku watu kama hawa.
View attachment 3205527