jingalao JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 36,197 Reaction score 29,717 Dec 11, 2021 #1 Moja ya mapendekezo ya Tume iliyomshauri Mhe. Rais kuleta chanjo ilikuwa ni kujenga kiwanda cha chanjo kwa haraka. Napena kusisitiza kuwa pendekezo hili namba 7 lifanyiwe kazi kwa uharaka ule ule ili nchi isiingìe kwenye deni lisilo la lazima.
Moja ya mapendekezo ya Tume iliyomshauri Mhe. Rais kuleta chanjo ilikuwa ni kujenga kiwanda cha chanjo kwa haraka. Napena kusisitiza kuwa pendekezo hili namba 7 lifanyiwe kazi kwa uharaka ule ule ili nchi isiingìe kwenye deni lisilo la lazima.
Satan JF-Expert Member Joined Aug 9, 2017 Posts 1,482 Reaction score 2,260 Dec 11, 2021 #2 Inawezekana chanjo kutengenezwa hapa bongo?
jingalao JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 36,197 Reaction score 29,717 Dec 11, 2021 Thread starter #3 Satan said: Inawezekana chanjo kutengenezwa hapa bongo? Click to expand... wapo wataalamu wa kufanya hivyo
Satan said: Inawezekana chanjo kutengenezwa hapa bongo? Click to expand... wapo wataalamu wa kufanya hivyo
Auz JF-Expert Member Joined Apr 6, 2016 Posts 13,539 Reaction score 11,419 Dec 12, 2021 #4 Wenye nchi hawajaamua. Pesa wanayopewa Kwa ajili ya COVID, wanaooeleka kujenga madarasa, kama kweli itafika. Wanyonge tunashangilia!
Wenye nchi hawajaamua. Pesa wanayopewa Kwa ajili ya COVID, wanaooeleka kujenga madarasa, kama kweli itafika. Wanyonge tunashangilia!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 12, 2021 #5 Siyo rahisi hivyo...