DOKEZO Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

DOKEZO Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.

Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi?

Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zinazunguka kwenye mitandao ya kijamii kila kukicha, lakini HUSIKII serikali ikichukua hatua kuongea na vyombo vya habari ili kuleta utulivu kwenye jamii.

Pia soma: Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Yaan hii Nchi kila kitu kinachukuliwa poa tu, hapo suala nyeti kama hili linachukuliwa tu kama ni stori za mitandaoni za udaku, basi.!

Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao wahuni, watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA" wa Dawa za ARV, hali inayoenda kuzalisha Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa hizo kwa watumiaji.

Watumiaji wa ARV ni wazi sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata, hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha".

Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU, Hakikisheni mnaleta utulivu kwa jamii, kila mmoja aiingie kazini rasmi.

Ndugu zangu watumiaji wa ARV's, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.

ARV haziuzwi ni Bure.

Watumiaji wa ARV bila kujali hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARV.

Naona ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.

Naona vifo vingi ambavyo si tu vitahusiana na UKIMWI, la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na taarifa sahihi sambamba na hili janga hewa litakaloletwa na watumishi wasokua na maadili.

Wizara ya Afya Tanzania

=====

Pia soma: Wizara ya Afya yatoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa ARV, wasema zipo za kutosha
 
Nilitegemea baada ya kauli ya Trump na washirika wake....

Bunge lilipoanza lingejadili au kuweka kikao cha dharura... Lakini kwa bahati mbaya 🤔🤔🤔

Ngoja tuone, naona USAID this week inasimamisha shughuli zake, vipi huduma zitaendelea au lah'?

Naomba serikali ifanye jitihada za haraka moja ni kushusha pressure iliyopo kwenye jamii hasa kwa ndugu zetu, marafiki na wanapata huduma hizi lengo ni kuwapa faraja na kuwapunguzia wanachokiwaza na kukipitia
 
Upo sahihi kabisa
Hakuna siku ARV zinaweza kuadimika au kuuzwa, ila wajinga ndio wanaeneza uvumi na kusababisha pressure zisizo na mashiko
Kwanini unawaza hivyo?
Wewe unavyoona hivi sasa zikigawiwa bure unafikiri zinadondoka kwa mvua?
Kama USA na Ulaya ARVs zinauzwa, nini cha ajabu ikiwa hapa Africa zitakuja kuuzwa?
 
Upo sahihi kabisa
Hakuna siku ARV zinaweza kuadimika au kuuzwa, ila wajinga ndio wanaeneza uvumi na kusababisha pressure zisizo na mashiko
Kabisa nyuma ya hili wimbi kubwa la uvumi wa UKOSEFU wa ARVs Kuna wajinga watajineemesha sana
 
Nilitegemea baada ya kauli ya Trump na washirika wake....

Bunge lilipoanza lingejadili au kuweka kikao cha dharura... Lakini kwa bahati mbaya 🤔🤔🤔

Ngoja tuone, naona USAID this week inasimamisha shughuli zake, vipi huduma zitaendelea au lah'?

Naomba serikali ifanye jitihada za haraka moja ni kushusha pressure iliyopo kwenye jamii hasa kwa ndugu zetu, marafiki na wanapata huduma hizi lengo ni kuwapa faraja na kuwapunguzia wanachokiwaza na kukipitia
Kweli kabisa Mkuu , yaan Wizara ya Afya ilitakiwa ije na mpango mkakati wa dharura .

Ila wamelala !!


Mimi nilipenda Dkt Gwajima alivyokua Proactive
 
Hizi nyuzi zinatosha sasa! Tuwaache ndugu zetu waishi kwa matumaini.
 
Serikali ya Tz iko busy kutangaza birthday ya mama Samia, ni lini watakumbuka kuja kueleza hayo ya ARVs?
Imagine Sasa...it's a Shame !!.

Ni makosa makubwa kuacha Taarifa yenye kuzalisha Hofu kuenea katika Jamii, Jamii wakaiamin, na Jamii ikaanza Kupambana ili kuishi.

Ni hatari sana sana.
 
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.

Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi ?.

Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zikizunguka kwenye mitandao ya kijamii Kila kukicha, LAKINI HUSIKII SERIKALI IKICHUKUA HATUA ,KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI ILI KULETA UTULIVU KWENYE JAMII.

Yaan hii Nchi Kila kitu kinachukuliwa Poaa tu, hapo suala nyeti kama hili lianchukulia tu ka ni stori za mitandaoni za udaku basi !!.

Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao Wahuni , Watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA " wa Dawa za ARVs , hali inayoenda kuzalisha "Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa Kwa watumiaji wa ARVs .

Watumiaji wa ARVs ni wazi Sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata , hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA ,Huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha!!.


Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU , Hakikisheni Mnaleta Utulivu Kwa Jamii, Kila Mmoja aiingie kazin Rasimi .


Ndugu zangu watumiaji wa ARVs, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.

ARVs haziuzwi ni Bure.

Watumiaji wa ARVS bila kujalisha hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARVs .


Naona Ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.

Naona Vifo vingi ambavyo Si tu vitahusiana na UKIMWI , la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na Taarifa sahihi sambamba na hii crisis hewa itakayoletwa na watumishi wasokua na maadili.
Mkuu serikali iko 5 steps ahead kwenye hilo

Sio Lazima wakutangazie
 
Serikali ya Tz iko busy kutangaza birthday ya mama Samia, ni lini watakumbuka kuja kueleza hayo ya ARVs?
Wewe ni fuvu sana

Hujui what is happening behind the scenes

Unachoongea kilishakua addressed tar 18 Jan
 
Kwanini unawaza hivyo?
Wewe unavyoona hivi sasa zikigawiwa bure unafikiri zinadondoka kwa mvua?
Kama USA na Ulaya ARVs zinauzwa, nini cha ajabu ikiwa hapa Africa zitakuja kuuzwa?
They will never be out because it is a business
 
Kweli kabisa Mkuu , yaan Wizara ya Afya ilitakiwa ije na mpango mkakati wa dharura .

Ila wamelala !!


Mimi nilipenda Dkt Gwajima alivyokua Proactive
Hivi akili yako ilo sehemu gani ya hiyo anus yako?

Unadhani serikali is not working on the matter?
 
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.

Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi ?.

Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zikizunguka kwenye mitandao ya kijamii Kila kukicha, LAKINI HUSIKII SERIKALI IKICHUKUA HATUA ,KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI ILI KULETA UTULIVU KWENYE JAMII.

Yaan hii Nchi Kila kitu kinachukuliwa Poaa tu, hapo suala nyeti kama hili lianchukulia tu ka ni stori za mitandaoni za udaku basi !!.

Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao Wahuni , Watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA " wa Dawa za ARVs , hali inayoenda kuzalisha "Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa Kwa watumiaji wa ARVs .

Watumiaji wa ARVs ni wazi Sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata , hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA ,Huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha!!.


Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU , Hakikisheni Mnaleta Utulivu Kwa Jamii, Kila Mmoja aiingie kazin Rasimi .


Ndugu zangu watumiaji wa ARVs, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.

ARVs haziuzwi ni Bure.

Watumiaji wa ARVS bila kujalisha hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARVs .


Naona Ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.

Naona Vifo vingi ambavyo Si tu vitahusiana na UKIMWI , la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na Taarifa sahihi sambamba na hii crisis hewa itakayoletwa na watumishi wasokua na maadili.
Hii zama mpya bobu chura keshasema kula urefu wakamba yako shauri yako... umbea hukooo
 
Hivi akili yako ilo sehemu gani ya hiyo anus yako?

Unadhani serikali is not working on the matter?
Mjinga Mmoja wee, Unatumia makalio kufikiria?.

It doesn't matter if the government is working on it or not, the first responsibility of the government was to calm the ARVs user community.
 
Kwani dawa za HIV uwa zina nembo ya USAID au WHO.
Kwenye neti sawa Uwa zina NEMBO YA USAID Msaada
 
Back
Top Bottom