DOKEZO Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

DOKEZO Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu serikali iko 5 steps ahead kwenye hilo

Sio Lazima wakutangazie
5 steps ahead ? Peleka huko Siasa chafu, Trump atangaze kujitoa WHO juzi, Leo tayari Serikali Ipo hatua Tano mbele .


Kua serious basi... Wautangazie Umma Sasa ili Utulivu utawale.
 
Hizo dawa Dunia inabidi waondoe intellectual property rights ziondolewe ili hata Tanzania na nchi nyingi ziweze kuzizalisha kwa gharama nafuu sababu HIV nini janga la dunia nzima.
 
Hizo dawa Dunia inabidi waondoe intellectual property rights ziondolewe ili hata Tanzania na nchi nyingi ziweze kuzizalisha kwa gharama nafuu sababu HIV nini janga la dunia nzima.
Ni sahihi usemacho ila hakiwezi kubalika Kwa watu wale !! Wanalinda Ile 'Know how'.
 
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.

Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi ?.

Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zikizunguka kwenye mitandao ya kijamii Kila kukicha, LAKINI HUSIKII SERIKALI IKICHUKUA HATUA ,KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI ILI KULETA UTULIVU KWENYE JAMII.

Yaan hii Nchi Kila kitu kinachukuliwa Poaa tu, hapo suala nyeti kama hili lianchukulia tu ka ni stori za mitandaoni za udaku basi !!.

Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao Wahuni , Watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA " wa Dawa za ARVs , hali inayoenda kuzalisha "Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa Kwa watumiaji wa ARVs .

Watumiaji wa ARVs ni wazi Sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata , hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA ,Huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha!!.


Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU , Hakikisheni Mnaleta Utulivu Kwa Jamii, Kila Mmoja aiingie kazin Rasimi .


Ndugu zangu watumiaji wa ARVs, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.

ARVs haziuzwi ni Bure.

Watumiaji wa ARVS bila kujalisha hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARVs .


Naona Ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.

Naona Vifo vingi ambavyo Si tu vitahusiana na UKIMWI , la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na Taarifa sahihi sambamba na hii crisis hewa itakayoletwa na watumishi wasokua na maadili.
Screenshot_20250128-220450_Opera Mini.jpg
 
Ni sahihi usemacho ila hakiwezi kubalika Kwa watu wale !! Wanalinda Ile 'Know how'.

Kuna tiba za magonjwa mengi hstarishi ni bure katika jitihada za dunia kutokomeza magonjwa hatari duniani. Inahitajika kampeni dunia kukaa pamoja.
 
Kwanini unawaza hivyo?
Wewe unavyoona hivi sasa zikigawiwa bure unafikiri zinadondoka kwa mvua?
Kama USA na Ulaya ARVs zinauzwa, nini cha ajabu ikiwa hapa Africa zitakuja kuuzwa?
umemuelewa lakini mtoa mada
umeelewa point yake lakini

ARVs ni free duniani kote zipo katika mpango wa WHO duniani kote kwa kila NCHI

hizo zinazouzwa labda useme CUSTOM MADE
yaan uweke wewe mwenyewe ORDER MAALUM
kam unavyoona mseto kwa TANZANIA bei yake kila mtanzania anaidumu wengine wanaona mseto inawaletea side effect nyingi ndo wanaenda kunua binafs
 
Kweli kabisa Mkuu , yaan Wizara ya Afya ilitakiwa ije na mpango mkakati wa dharura .

Ila wamelala !!


Mimi nilipenda Dkt Gwajima alivyokua Proactive
Kuna jambo nimeliona, kwa trending hii 😂😂😂😂 ngoja nicheke kama mazuri ila mmh' sijui
 
Hivi akili yako ilo sehemu gani ya hiyo anus yako?

Unadhani serikali is not working on the matter?
Acha kutukana watu bana - wewe ndo serikali- huo uchungu mpaka wa matusi unatoa wapi? Kwa nini usiseme huo mpango, humu tunatumia majina fakes..shida iko wapi ukiongea..??
 
Mjinga Mmoja wee, Unatumia makalio kufikiria?.

It doesn't matter if the government is working on it or not, the first responsibility of the government was to calm the ARVs user community.
Ungeongea Kwa utuo basi sio unalaumu tu
 
Nilitegemea baada ya kauli ya Trump na washirika wake....

Bunge lilipoanza lingejadili au kuweka kikao cha dharura... Lakini kwa bahati mbaya 🤔🤔🤔

Ngoja tuone, naona USAID this week inasimamisha shughuli zake, vipi huduma zitaendelea au lah'?

Naomba serikali ifanye jitihada za haraka moja ni kushusha pressure iliyopo kwenye jamii hasa kwa ndugu zetu, marafiki na wanapata huduma hizi lengo ni kuwapa faraja na kuwapunguzia wanachokiwaza na kukipitia
Upo sahihi, lakini kwanza marekani imesitisha kwa muda wa siku 85 pekee na lengo ni ukaguzi wa pesa kama kweli huwa zinafika kunako husika.

Sasa ukisema bunge lijadili kama emergency case ni kuleta pressure ambayo haina mantiki kwa wananchi
 
Back
Top Bottom