Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
-
- #21
5 steps ahead ? Peleka huko Siasa chafu, Trump atangaze kujitoa WHO juzi, Leo tayari Serikali Ipo hatua Tano mbele .Mkuu serikali iko 5 steps ahead kwenye hilo
Sio Lazima wakutangazie
Ni sahihi usemacho ila hakiwezi kubalika Kwa watu wale !! Wanalinda Ile 'Know how'.Hizo dawa Dunia inabidi waondoe intellectual property rights ziondolewe ili hata Tanzania na nchi nyingi ziweze kuzizalisha kwa gharama nafuu sababu HIV nini janga la dunia nzima.
Wewe umejuaje sisi wengine tusijue??Upo tayari wewe ndio hujui
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.
Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi ?.
Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zikizunguka kwenye mitandao ya kijamii Kila kukicha, LAKINI HUSIKII SERIKALI IKICHUKUA HATUA ,KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI ILI KULETA UTULIVU KWENYE JAMII.
Yaan hii Nchi Kila kitu kinachukuliwa Poaa tu, hapo suala nyeti kama hili lianchukulia tu ka ni stori za mitandaoni za udaku basi !!.
Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao Wahuni , Watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA " wa Dawa za ARVs , hali inayoenda kuzalisha "Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa Kwa watumiaji wa ARVs .
Watumiaji wa ARVs ni wazi Sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata , hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA ,Huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha!!.
Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU , Hakikisheni Mnaleta Utulivu Kwa Jamii, Kila Mmoja aiingie kazin Rasimi .
Ndugu zangu watumiaji wa ARVs, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.
ARVs haziuzwi ni Bure.
Watumiaji wa ARVS bila kujalisha hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARVs .
Naona Ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.
Naona Vifo vingi ambavyo Si tu vitahusiana na UKIMWI , la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na Taarifa sahihi sambamba na hii crisis hewa itakayoletwa na watumishi wasokua na maadili.
Ho have you know?They will never be out because it is a business
Ni sahihi usemacho ila hakiwezi kubalika Kwa watu wale !! Wanalinda Ile 'Know how'.
umemuelewa lakini mtoa madaKwanini unawaza hivyo?
Wewe unavyoona hivi sasa zikigawiwa bure unafikiri zinadondoka kwa mvua?
Kama USA na Ulaya ARVs zinauzwa, nini cha ajabu ikiwa hapa Africa zitakuja kuuzwa?
Kuna jambo nimeliona, kwa trending hii ππππ ngoja nicheke kama mazuri ila mmh' sijuiKweli kabisa Mkuu , yaan Wizara ya Afya ilitakiwa ije na mpango mkakati wa dharura .
Ila wamelala !!
Mimi nilipenda Dkt Gwajima alivyokua Proactive
Acha kutukana watu bana - wewe ndo serikali- huo uchungu mpaka wa matusi unatoa wapi? Kwa nini usiseme huo mpango, humu tunatumia majina fakes..shida iko wapi ukiongea..??Hivi akili yako ilo sehemu gani ya hiyo anus yako?
Unadhani serikali is not working on the matter?
Sio kila kitu Lazima utangaziwe Mbulu kenge weeeNitajuaje kama mmeukumbatia.
Ni sawa na MTU Mjinga kukaa kimya alafu akuambie 'Kukaa kimya pia ni jibu'.
Ungeongea Kwa utuo basi sio unalaumu tuMjinga Mmoja wee, Unatumia makalio kufikiria?.
It doesn't matter if the government is working on it or not, the first responsibility of the government was to calm the ARVs user community.
Hiyo siku ikifika utakumbushwaUpo sahihi kabisa
Hakuna siku ARV zinaweza kuadimika au kuuzwa, ila wajinga ndio wanaeneza uvumi na kusababisha pressure zisizo na mashiko
Upo sahihi, lakini kwanza marekani imesitisha kwa muda wa siku 85 pekee na lengo ni ukaguzi wa pesa kama kweli huwa zinafika kunako husika.Nilitegemea baada ya kauli ya Trump na washirika wake....
Bunge lilipoanza lingejadili au kuweka kikao cha dharura... Lakini kwa bahati mbaya π€π€π€
Ngoja tuone, naona USAID this week inasimamisha shughuli zake, vipi huduma zitaendelea au lah'?
Naomba serikali ifanye jitihada za haraka moja ni kushusha pressure iliyopo kwenye jamii hasa kwa ndugu zetu, marafiki na wanapata huduma hizi lengo ni kuwapa faraja na kuwapunguzia wanachokiwaza na kukipitia