Wizara ya afya mbona kimya?

Wizara ya afya mbona kimya?

Wachaka

Senior Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
107
Reaction score
23
Habar zenu wadau,hivi maombi ya kujiunga na masomo kada ya afya 2015/2016 tayar yapo hewani au bado??mana huu ni mwezi April sasa.
 
Tatzo ni Fedha...

Serikali haina Fedha sasa hivi

Hata waalimu nao wametoswa mambo baado kabisa
 
Ingia nacte Wewe watu tayari wanajiunga awamu ya pili deadline July 2015
 
Je, maombi ya ualimu kwa mwaka huu tayar. Maana nami nipo nyuma
 
Ingia halafu nenda kwenye kipengele cha online admission kama sijakosea
 
Wachaka, pitia kiungo hiki kwa utaratibu wa kujiunga na kozi za afya mwaka ujao wa masomo.
 
Last edited by a moderator:
habar zenu wadau,hivi maombi ya kujiunga na masomo kada ya afya 2015/2016 tayar yapo hewani au bado??mana huu ni mwezi april sasa.

application zilishaanza. Now you apply on line. Ingia nacte utapata maelekezo vizuri pamoja na ambao wanataka ku apply ualimu
 
Back
Top Bottom