Lukumbisi
Senior Member
- Jan 28, 2022
- 110
- 188
Habari wana Jf.
Nimeona nilete mbele ya jukwaa hili jambo ambalo kimsingi linatesa sana kada hii ya afya yaan Medical lab personels.
1. Kuwepo kwa Provisional license ya maabara. Yaani ikiwa mtu amehitimu na amequalify kabisa kwanini unampa leseni ya matazamio? Unamtazama huyu mtaalamu akiwa wapi ikiwa nyie serikali hamtoi ajira kwa watu wenye leseni za awali? Na vituo binafsi pia ndo wamepata sababu za kulipa ujira mdogo et kisa una leseni ya awali.
Jaman hili jambo linatuumiza sana. Hiyo ni tofauti kabisa na kada nyinginezo za afya mfano famasia, nurses na madaktari ambapo wenzetu wanapata full registration yaani hana muda wa kusubiri leseni ya nyingine manesi nao ni hivohivo sijajua kwa kada nyinginezo, why Labs?
2. Kufelishana mitihani kwa makusudi, taaluma nakuta kuna baadhi ya vituo vya kufanyia hiyo mitihani ya leseni za maabara watu wanakimbia kwa kuwa kuna mambo ya ajabu hasa hapo Muhimbili mna mambo ya hovyo sana.
Yaani unajisikiaje kusapisha mtu ili upate pesa yake ya sup inakusaidia nini laki moja ya kijana fukara kajitafutia hela kwa taabu.
Mwisho niseme tu kuwa najua humo pia mpo wahusika wa taaluma hii mkalifanyie kazi msifanye mambo kuwa magumu, ugumu tulioupata kwenye ANATOMY PHYSIOLOGY NA BIOCHEMISTRY UNATOSHA.
Mtupumzishe basi.
Nimeona nilete mbele ya jukwaa hili jambo ambalo kimsingi linatesa sana kada hii ya afya yaan Medical lab personels.
1. Kuwepo kwa Provisional license ya maabara. Yaani ikiwa mtu amehitimu na amequalify kabisa kwanini unampa leseni ya matazamio? Unamtazama huyu mtaalamu akiwa wapi ikiwa nyie serikali hamtoi ajira kwa watu wenye leseni za awali? Na vituo binafsi pia ndo wamepata sababu za kulipa ujira mdogo et kisa una leseni ya awali.
Jaman hili jambo linatuumiza sana. Hiyo ni tofauti kabisa na kada nyinginezo za afya mfano famasia, nurses na madaktari ambapo wenzetu wanapata full registration yaani hana muda wa kusubiri leseni ya nyingine manesi nao ni hivohivo sijajua kwa kada nyinginezo, why Labs?
2. Kufelishana mitihani kwa makusudi, taaluma nakuta kuna baadhi ya vituo vya kufanyia hiyo mitihani ya leseni za maabara watu wanakimbia kwa kuwa kuna mambo ya ajabu hasa hapo Muhimbili mna mambo ya hovyo sana.
Yaani unajisikiaje kusapisha mtu ili upate pesa yake ya sup inakusaidia nini laki moja ya kijana fukara kajitafutia hela kwa taabu.
Mwisho niseme tu kuwa najua humo pia mpo wahusika wa taaluma hii mkalifanyie kazi msifanye mambo kuwa magumu, ugumu tulioupata kwenye ANATOMY PHYSIOLOGY NA BIOCHEMISTRY UNATOSHA.
Mtupumzishe basi.